Ni mchepuko wangu mpya, niko naye huu ni mwezi wa tatu. Sijawahi kumpa hela, jana nimelala naye usiku mzima, asubihi ananiaga anaondoka nimempa elfu tano ya nauli. Akaikataa, akasema asante anayo nauli.
Muda huu nampigia kumuuliza amefika wapi, nakuta nime-b-iwa, Simu na WhatsApp.
Mkuu ameamuwa kukutunuku kwaiyo iyo pesa fanya kujipongeza lkn uwenda alicho kitegemea kutoka kwako ajakipata lkn ww umekipata ndo maana umekuja kulalamika na kufungua uzi
Ni Mara ya pili ,Mara ya Kwanza sikumpa at Mia, anaondoka kwa furaha,baada Kama ya wiki mbili ananipigia kuwa ana shida nikamwambia kwa Sasa Sina avumilie Hadi mwisho wa mwezi, ndiyo tumeonana Jana Tena ,leo kanifanyia hayoo
Ni kweli mkuu tena amenitamkia nauli yeye anayo, ila aliniambia yeye aliniomba hela anashida ,so nikipata nitampa na akaikataa hiyo elfu tano, nimejiskia vibaya Sana kwali alivyoikataa pesa yangu.
Ni kweli mkuu tena amenitamkia nauli yeye anayo, ila aliniambia yeye aliniomba hela anashida ,so nikipata nitampa na akaikataa hiyo elfu tano, nimejiskia vibaya Sana kwali alivyoikataa pesa yangu.