Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
- Thread starter
-
- #21
Kulala na mtu anayekoroma kweli ni changamoto. Uwe unamfinya alale vizuri huku ukitafuta tiba
Piga show mpka asubuhi halafu we toka nenda kazi yeye muache alaleNmeanza kudate naye miezi kadhaa sasa. Ni dada mzuri kwa sifa zote za uzuri na rangi yake ya usafi...she is beautiful. Shida kubwa.
ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku silali maana mimi mtu akikoroma nakereka sana.siwezi kulala hata kidogo.
Hata asubuhi itokee tumechelewa kuamka maybe amekuja ni weekend kalala kwangu saa tatu nne asubuhi anakoroma sana tu.
Sielewi nifanye nini au nimsaidiaje maana kwangu hili ni tatizo nawaza nikimwoa tutaweza lala pamoja kweli?maana kiukweli inafikia hatua sitamani aje kulala kwangu.maana napata kero kubwa sana.
Sipendi kulala na mtu anayekoroma kiukweli.nami huwa nikilala na mtu namwambia ikitokea nmekoroma aniamshe bila kusita.maana sipendi kukoroma ingawa sina tabia hiyo.
Sasa kwa huyu dada nifanye nini. Please siyo ushauri wa kuambiana nivumilie.siwezi coz maana yake sitakuwa nikilala kwa hiyo kero.kuna dawa za kusaidia mtu aache kukoroma?
loving eyes can never see kijana hujapenda bado unamtamani tu huyo dada kwa uzuri wake mtu ukipenda mbona huko kukoroma utahisi nyimbo za celine dion,plus kama huwezi kabisa ungeshakuwa umejaribu kumtafutia dawa kabla hujaja kumwanika hapa
Eehh ndo hivyo mkuu yaani mapenzi banah yana nguvu ya ajabu askiwambie mtuHa ha ha ha ha umenifurahisha eti celine dion
Atakua hajapenda huyuEehh ndo hivyo mkuu yaani mapenzi banah yana nguvu ya ajabu askiwambie mtu
Tena haya mapenzi ya ndo mna miezi michache mmeanza kudate mbona chongo unaliona kengeza maanake mi raha tupu
Sasa ye mwenzetu kadate miezi michache tu tayari kashaanza kukosoa majukwaani kapenda kweli huyu??
Sent using Jamii Forums mobile app
kabisaaa amwache tu dada wa watu apate atakayempendaAtakua hajapenda huyu
kuna vidude flani vya kuziba masikio ukilala vipo kama vispomji nunua then tia maskioni akianza kukoroma.... usimnyanyapae coz izo ni involuntary actions she cant control by her selfNmeanza kudate naye miezi kadhaa sasa. Ni dada mzuri kwa sifa zote za uzuri na rangi yake ya usafi...she is beautiful. Shida kubwa.
ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku silali maana mimi mtu akikoroma nakereka sana.siwezi kulala hata kidogo.
Hata asubuhi itokee tumechelewa kuamka maybe amekuja ni weekend kalala kwangu saa tatu nne asubuhi anakoroma sana tu.
Sielewi nifanye nini au nimsaidiaje maana kwangu hili ni tatizo nawaza nikimwoa tutaweza lala pamoja kweli?maana kiukweli inafikia hatua sitamani aje kulala kwangu.maana napata kero kubwa sana.
Sipendi kulala na mtu anayekoroma kiukweli.nami huwa nikilala na mtu namwambia ikitokea nmekoroma aniamshe bila kusita.maana sipendi kukoroma ingawa sina tabia hiyo.
Sasa kwa huyu dada nifanye nini. Please siyo ushauri wa kuambiana nivumilie.siwezi coz maana yake sitakuwa nikilala kwa hiyo kero.kuna dawa za kusaidia mtu aache kukoroma?
Duuuh!Nmeanza kudate naye miezi kadhaa sasa. Ni dada mzuri kwa sifa zote za uzuri na rangi yake ya usafi...she is beautiful. Shida kubwa.
ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku silali maana mimi mtu akikoroma nakereka sana.siwezi kulala hata kidogo.
Hata asubuhi itokee tumechelewa kuamka maybe amekuja ni weekend kalala kwangu saa tatu nne asubuhi anakoroma sana tu.
Sielewi nifanye nini au nimsaidiaje maana kwangu hili ni tatizo nawaza nikimwoa tutaweza lala pamoja kweli?maana kiukweli inafikia hatua sitamani aje kulala kwangu.maana napata kero kubwa sana.
Sipendi kulala na mtu anayekoroma kiukweli.nami huwa nikilala na mtu namwambia ikitokea nmekoroma aniamshe bila kusita.maana sipendi kukoroma ingawa sina tabia hiyo.
Sasa kwa huyu dada nifanye nini. Please siyo ushauri wa kuambiana nivumilie.siwezi coz maana yake sitakuwa nikilala kwa hiyo kero.kuna dawa za kusaidia mtu aache kukoroma?
loving eyes can never see kijana hujapenda bado unamtamani tu huyo dada kwa uzuri wake mtu ukipenda mbona huko kukoroma utahisi nyimbo za celine dion,plus kama huwezi kabisa ungeshakuwa umejaribu kumtafutia dawa kabla hujaja kumwanika hapa
Kama amegawanyika vzuri hvo, niachie huyo wiki mbili tu nimtibu for free.Hapana...mwili wake umegawanyika vizuri tu juu mwembamba kiasi chini ndo kajengeka kwa hips na makalio kiasi.lakini huwezi mwita bonge.
Pole though unapaswa kumsaidia. Moja ninachofikiria yawezekana ana nyama za puani, huwa zinasababisha mtu kukoroma,Uzito wake ni wa kawaida tu ndugu yangu.sielewi tatizo sasa litakuwa nini maana ni changamoto sana kwangu.