Huyu dada nashangaa hii confidence kaipata wapi?

Hii sio tu ni free lunch bali ni mtego wa panya
Na lazima alinasa mtegoni huyu[emoji3] ,mazoea ya kijinga hivo eti safari, sitoruhusu mume wangu asafiri mwenyewe mimi[emoji3] [emoji3] kama mambo ndyo hivi humo safarinii
 
unazani hakuna.wanawake vichaa wazuri alikuwepo Catherine mzuri balaa Ila ni mwehu na anavaa kuendana na wakati wageni kitaa wamejipigiaga sana tu.
 
Kaiacha iko inachakata utumbo mpana.
Magufuli anavyogoma kugawa chakula cha bure safi sana. Mida ya shamba unashika simu unachati, piga jembe chakula cha msaada hakuna
 
Sawasawa.

Jo Makini kwny wimbo wake wa Mchele ameimba'Tunawalisha sana ndo bado mnakuuuunya'.

Mchele mchele mchele
Magufuli anavyogoma kugawa chakula cha bure safi sana. Mida ya shamba unashika simu unachati, piga jembe chakula cha msaada hakuna
 
Safari ya usiku hiyo itakua ,kama nimchana nakaamua hivyo basi nihayawani
 
Ukishamkula huyo uende kule kwenye Uzi wa mabaharia wanaokula tunda kimasihara ukatoe mrejesho
Ahahahha..mkuu kumbe tuko pamoja kule..sijaona hata "like" yako moja kule wala "ushuhuda"
Naona ni mwendo wa kimya kimya
 
Sawasawa.

Jo Makini kwny wimbo wake wa Mchele ameimba'Tunawalisha sana ndo bado mnakuuuunya'.

Mchele mchele mchele
Unapata na muda wa kusikiliza hip hop mizimu ya kijiji chenu imekubali? Na huyo bwana Afya alikubali redio yake uishike?
 
Ohhooooo.....
Naona orodha inazidi kuongezeka kwa walio unganishwa kwenye gridi ya taifa....
Pole sana mkuu
 
Ogopa sana kusafiri basi moja na watu wenye akil kama hiz wakiwa na situation kama hiz.
Huwa hawachelewi kuombea gari liharibike mlale usiku njian ila wafanye yao..Hawa ndio wanga wa kwanza wa safar
 
Unapata na muda wa kusikiliza hip hop mizimu ya kijiji chenu imekubali? Na huyo bwana Afya alikubali redio yake uishike?
Gamboshi radio si ya kuchukua kutoka kwa mwenyekiti, hua zinatoa sauti kutoka kwny transformer direct.
 
Na lazima alinasa mtegoni huyu[emoji3] ,mazoea ya kijinga hivo eti safari, sitoruhusu mume wangu asafiri mwenyewe mimi[emoji3] [emoji3] kama mambo ndyo hivi humo safarinii
"Abiria chunga mzigo wako".Sasa mizigo mingine hata ukisafir nayo huwa inakaa kwenye buti na huwez kuikagua kama hushuki mwisho wa safar..sijui unachungaje hapo..
Inabid uwe mpole tu
 
Ili ujue kama amefika salama mkuu..... Nimejua nia yako una nia nzuri na huyo bibie..... Najua network imesoma 4g lite ila hapa umeamua kujifanya superior πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…