Huyu CCM haimwezi, ni untouchable

Nina washkaji wamesoma nae huyu jamaa! wanasema linapokuja suala la kutafuta, kuchakata na kutafsiri data! Huyu jamaa yupo vizuri!
 
akitoka ccm ndo watakumbuka kashfa zake wazimwage kwenye mitandao alafu waanze kulamika kama ambavyo wanalalamika kwa lowasa na sasa nyalandu. wakati ndo wameatamia dola
kuna jamaa moja nilikuwa naye karibu, basi muda wote anajitapa kwamba yeye ni msukuma wa bariadi, yaani mnyantuzu....sasa mimi sio mzaliwa wa maeneo hayo, nilikuwa sielewi kama msukuma mnyantuzu kule kwao ni superior kuliko wasukuma wengine, nikawa nashangaa huyu anajisifia usukumaaa? unyantuzu si usukuma tu?....silidharau hili kabila lakini nilimdharau sana. ukienda mikoa yao hao jamaa wapo makundi mawili, wasukuma washamba na wasio jua biashara, na wasukuma wanyantuzu wanaojua sana biashara, wanapenda pesa. hao ndo maboss wao huko...ila ujanja wote unaishia chalinze. wakifika huku hawafurukuti.
 
Mkuu naomba unisaidie...hivi akiambiwa athibitishe pasipo na shaka beyond reasonable doubt kuwa aliagizwa na mkubwa wake kusaini anaweza kufanya hivyo?kuna maandishi sehemu yoyote yakimwelekeza hivyo?je Yeye anayomamlaka ya kusaini au hana?
nitashukuru ukinisaidia kujibu hawa ili nielewe kuwa huyu nyoka wa makengeza hawezi kushatakiwa....


Anaweza kushtakiwa ila kwa double standard mlizoamua kusimamia, hakuna wa kumwambia kitu. Watabweka kama mbwa koko ila hakuna wa kung'ata
 
kuna jamaa moja nilikuwa naye karibu, basi muda wote anajitapa kwamba yeye ni msukuma wa bariadi, yaani mnyantuzu....sasa mimi sio mzaliwa wa maeneo hayo, nilikuwa sielewi kama msukuma mnyantuzu kule kwao ni superior kuliko wasukuma wengine, nikawa nashangaa huyu anajisifia usukumaaa? unyantuzu si usukuma tu?....silidharau hili kabila lakini nilimdharau sana. ukienda mikoa yao hao jamaa wapo makundi mawili, wasukuma washamba na wasio jua biashara, na wasukuma wanyantuzu wanaojua sana biashara, wanapenda pesa. hao ndo maboss wao huko...ila ujanja wote unaishia chalinze. wakifika huku hawafurukuti.

Ndugu wanyantusu wanaitwa wachaga wa kanda ya ziwa
 
akitoka ccm ndo watakumbuka kashfa zake wazimwage kwenye mitandao alafu waanze kulamika kama ambavyo wanalalamika kwa lowasa na sasa nyalandu. wakati ndo wameatamia dola
Heshima,

Kuna wakati CCM ilinuia kujikoboa gamba ili iwe mpya. Walitajwa watu wa kuondoka lakini hawakuondoka, angalau kwa kufukuzwa.

Watu walioitwa magamba ni Rostam Aziz, Edward Lowasa na Andrew Chenge. Lowasa na Rostam wameondoka. Amebaki Chenge, mbunge wa Bariadi Magharibi. Pamoja na kashfa nyingi, kuanzia Radar mpaka Escrow, hakuna aliyejaribu kumgusa Chenge, iwe polisi, Tume ya Maadili au TAKUKURU.

Kuna wakati walijaribu kumtingisha kuhusu documents alizosaini. Aliwaambia hivi, "Nilitia sahihi kweli kama ripoti inavyodai ila kwa maagizo ya boss wangu, sasa tatizo liko wapi?
Aliyetuagiza sisi kutia sahihi ndiye bosi huyo huyo aliyemwagiza yeye kuuza nyumba za Umma na kama ni kesi zinafanana. Am not stupid to sign an agreement without a security".
Huyo ni Chenge aka Nyoka Mwenye Makengeza. Nina hakika atabaki salama.
KASHFA ZOTE ULIZOMPA NAAMINI UNAAMINI ZINAMKABILI ILA AKIHAMIA CHAGADEMA TU UTAMSAFISHA RASMI AU SIO?
 
1. KWANZA NI TOTO LA KINYAMWEZI (MTOTO WA MJINI)
2. AMESOMA VIZURI (LAW, HAVARD)


KIUFUPI HAKAMATIKI WALA HAADABIKI NA HAKUNA WA KUMUWEZA.

WENGI WALIOSHUGHULIKIWA HAWANA SIFA ZA CHENGE.

Majibu yake tu ni dose tosha.
Toto tena? Duuh! Mabwaku!
 
Heshima,

Kuna wakati CCM ilinuia kujikoboa gamba ili iwe mpya. Walitajwa watu wa kuondoka lakini hawakuondoka, angalau kwa kufukuzwa.

Watu walioitwa magamba ni Rostam Aziz, Edward Lowasa na Andrew Chenge. Lowasa na Rostam wameondoka. Amebaki Chenge, mbunge wa Bariadi Magharibi. Pamoja na kashfa nyingi, kuanzia Radar mpaka Escrow, hakuna aliyejaribu kumgusa Chenge, iwe polisi, Tume ya Maadili au TAKUKURU.

Kuna wakati walijaribu kumtingisha kuhusu documents alizosaini. Aliwaambia hivi, "Nilitia sahihi kweli kama ripoti inavyodai ila kwa maagizo ya boss wangu, sasa tatizo liko wapi?
Aliyetuagiza sisi kutia sahihi ndiye bosi huyo huyo aliyemwagiza yeye kuuza nyumba za Umma na kama ni kesi zinafanana. Am not stupid to sign an agreement without a security".
Huyo ni Chenge aka Nyoka Mwenye Makengeza. Nina hakika atabaki salama.
Dah hii kichwa ni noma.
 
Waziri husika na mwanasheria mkuu wanaenda ku sign document kwa niaba ya serikali.......wakiwa wamesha discuss (draft) na President.....alipowa sainisha mawaziri wake makubaliano ya makinikia alikuwahajui kilichomo??? Asitusumbue hapa!!! Yeye alipo sign kuuza nyumba aliemtumahakujuaa???? Acha weweeee!!!!! Aliponunua meli mbofuu aliemtuma hakujua??? Achaa banaaa wanamuoneaa Chenge.....yeye mtu wa ku sign na kukatiw chake....ila walio nyuma yake hawaguswiii!!! Mikataba yoote lazima ipite kwake....anapewa maelekezo jinsi ya kuandika.....
Mkuu naomba unisaidie...hivi akiambiwa athibitishe pasipo na shaka beyond reasonable doubt kuwa aliagizwa na mkubwa wake kusaini anaweza kufanya hivyo?kuna maandishi sehemu yoyote yakimwelekeza hivyo?je Yeye anayomamlaka ya kusaini au hana?
nitashukuru ukinisaidia kujibu hawa ili nielewe kuwa huyu nyoka wa makengeza hawezi kushatakiwa....
 
Back
Top Bottom