Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,829
- 3,159
- Thread starter
- #21
Sipati picha picha bungeni kama pangetosha ile kila akitoa hoja lazima aweke helohelo....
Kwani huyu na Kibajaji (Lusinde), Mlinga, Maji Marefu, Jah People na Dr. Mwakyembe, wanatofauti gani? Tena kwangu mimi huyu jamaa ni zaidi ya wanafiki kama Mwakyembe, Lusinde na Kibajaji.
Yale maandiko yanayoletwa yapitishwe na hati ya dharura sio? Uchambuzi gan wa kina unafanyika zaidi ya kusema ndiyoooooooWatanzania tunatakiwa kubadilika...Tuchague viongozi /wabunge wasomi....Mbunge asipokuwa msomi atatuwakilisha vipi ktk mikataba mbali mbali, maandiko mbali mbali, ktk arguments za bungeni sababu unatakiwa uongee ukiwa na facts kisomi sio kuropoka bungeni.
Wabunge tunaowachagua wasiosoma matunda yake tutakayo yalea si mema...
pia tunatakiwa tusipende kuchagua saaana viongozi njaa...
Unafikiri mtu kama Kingwendu akiwa mbunge atakachofikiria kwanza akianza ubunge kitakuwa nini kama si kwanza aanze kujineemesha zile shida zote zitoke, kisha familia yake....Wananchi mtakuwa baadae saanaaaaaa kufikiriwa
Watanzania tunatakiwa kubadilika...Tuchague viongozi /wabunge wasomi....Mbunge asipokuwa msomi atatuwakilisha vipi ktk mikataba mbali mbali, maandiko mbali mbali, ktk arguments za bungeni sababu unatakiwa uongee ukiwa na facts kisomi sio kuropoka bungeni.
Wabunge tunaowachagua wasiosoma matunda yake tutakayo yalea si mema...
pia tunatakiwa tusipende kuchagua saaana viongozi njaa...
Unafikiri mtu kama Kingwendu akiwa mbunge atakachofikiria kwanza akianza ubunge kitakuwa nini kama si kwanza aanze kujineemesha zile shida zote zitoke, kisha familia yake....Wananchi mtakuwa baadae saanaaaaaa kufikiriwa
Mbona nyie mmempa Kibajaji (Livingstone Lusinde) kuwa mbunge?Watanzania tunatakiwa kubadilika...Tuchague viongozi /wabunge wasomi....Mbunge asipokuwa msomi atatuwakilisha vipi ktk mikataba mbali mbali, maandiko mbali mbali, ktk arguments za bungeni sababu unatakiwa uongee ukiwa na facts kisomi sio kuropoka bungeni.
Wabunge tunaowachagua wasiosoma matunda yake tutakayo yalea si mema...
pia tunatakiwa tusipende kuchagua saaana viongozi njaa...
Unafikiri mtu kama Kingwendu akiwa mbunge atakachofikiria kwanza akianza ubunge kitakuwa nini kama si kwanza aanze kujineemesha zile shida zote zitoke, kisha familia yake....Wananchi mtakuwa baadae saanaaaaaa kufikiriwa
Vipi kuhusu Chenge na Tibaijuka, nao sio wasomi?Watanzania tunatakiwa kubadilika...Tuchague viongozi /wabunge wasomi....Mbunge asipokuwa msomi atatuwakilisha vipi ktk mikataba mbali mbali, maandiko mbali mbali, ktk arguments za bungeni sababu unatakiwa uongee ukiwa na facts kisomi sio kuropoka bungeni.
Wabunge tunaowachagua wasiosoma matunda yake tutakayo yalea si mema...
pia tunatakiwa tusipende kuchagua saaana viongozi njaa...
Unafikiri mtu kama Kingwendu akiwa mbunge atakachofikiria kwanza akianza ubunge kitakuwa nini kama si kwanza aanze kujineemesha zile shida zote zitoke, kisha familia yake....Wananchi mtakuwa baadae saanaaaaaa kufikiriwa
Akija kukufikirieni wananchi itakua imebaki mwezi mmojaka katika miaka yake mitano ya ubuge by by imekula kwenuWatanzania tunatakiwa kubadilika...Tuchague viongozi /wabunge wasomi....Mbunge asipokuwa msomi atatuwakilisha vipi ktk mikataba mbali mbali, maandiko mbali mbali, ktk arguments za bungeni sababu unatakiwa uongee ukiwa na facts kisomi sio kuropoka bungeni.
Wabunge tunaowachagua wasiosoma matunda yake tutakayo yalea si mema...
pia tunatakiwa tusipende kuchagua saaana viongozi njaa...
Unafikiri mtu kama Kingwendu akiwa mbunge atakachofikiria kwanza akianza ubunge kitakuwa nini kama si kwanza aanze kujineemesha zile shida zote zitoke, kisha familia yake....Wananchi mtakuwa baadae saanaaaaaa kufikiriwa