NdegeMwema
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 250
- 200
Kwa maelezo yako bado inaonekana huyo dem akikukazia utalegea tu!
Fungua macho kijana, huoni kama kitendo cha kumchelewesha dem wa kwanza ndo kinakufanya ushindwe kutoa maamuzi sahh.
Kama humuwezi huyu unayemwita mkali, basi endelea kulea bikra.
Just simple
Fungua macho kijana, huoni kama kitendo cha kumchelewesha dem wa kwanza ndo kinakufanya ushindwe kutoa maamuzi sahh.
Kama humuwezi huyu unayemwita mkali, basi endelea kulea bikra.
Just simple