Tupilia MBALI mm ninamchumba wangu aka token dada moja akawa amenipigia simu Kama kwa bahati mbaya vile kumbe Yule dada alikua ananiwinda long time , baada ya kumaliza simu aliyonipigia kwa makosa Kama kumbe maksudi nilinyamaza baadae nikawa napa ta SMS anataka kuchati na mm nikamwambia sawa, story mbalimbali zikaendelea, baadae nilikuja shituka kumbe ni dada mitan100 KUTOKA ninapo kaa, mmh nilishangaaa Ila si kuonyesha kwake
Baadae katika mazungumzo akaniuliza unamchumba nikamwambia ndio, akasema unampenda nikasema haswaa basi akasema sawa,
Siku kadhaa baadae NIKAONA anatuma SMS mpenzi wangu haa nikawa nashangaa anasema ananipenda nikasema nilishangaaa kwambia ninampenzi wangu, akanambia unadhani hachepuki nikasema Sijui akasema , anaomba niwe mpenzi wake kisirisiri
Nikakataa , SIKU moja aliniyu is SMS za mapenzii basi nikajaribu KUTUMIA namba NYINGINE na nikamwandikia whatsapp kwann unatuma SMS za mapenzii kwa mime wangu alitusha MATUSI na maneno ya ajabu sana NDIPO nilipo hitimisha KUWA hata Kama angekua mchepuko wangu kumbe angenigombanisha na mpenzi wangu na kuvunja mahusiano nimemweleza kwamba sitaki ujinga wake na sitaki kuwasilisha NAE na ninamchukia sana
SASA kabaki KITUma vi SMS namtesa nikamwambia Hana mzigo wangu Kama anaomba aweke Chini aende zake