Niko hivi niko na binti mmoja kwenye mahusiano sasa shida inakuja binti huyu nikimwambia aje home anakuja lakini akifika changamoto bwana iko kwenye kutoa penzi aisee nabembeleza mpaka nachoka baadaee sana ndo anakuja kunipa je shida ni upendo au nini kwa binti huy? Maana hata akinipa haonyeshi ule ushirikiano wa kwenye tendo wakuu ushauri wenu hapa
Mkuu huduma natoa lkn nadhani hilo la kuonesha namhitaji sana ndo tatizo kiukweli ni tatzo kubwa sana yaani ananisumbua haswaa sijuii nimpotezee au sijuii nifanyeje aloo
Yupo kwa maslahi ya upande wake, jiengue mapema. Anza kuweka neutral gari ikikaribia kusimama utajua kwamba hapa pana mwinuko ubadili gia. Elewa kwanza ndio usome.
Hebu fanya hili zoezi utakuja nishukuru,usimwombe papuchi Wala kuonyesha kama unataka sana mambo for 2 weeks,asipojilengesha umbararue,basi tena jua ananjemba ingine piga chini
Hebu fanya hili zoezi utakuja nishukuru,usimwombe papuchi Wala kuonyesha kama unataka sana mambo for 2 weeks,asipojilengesha umbararue,basi tena jua ananjemba ingine piga chini
Mwanamke usioneshe kuwa unamhitaji sana, mpe muda akufikirie (akuwaze/akufuatilie wewe) .Binadamu huwa tuna tabia ya kupenda vile vitu ambavyo vinasumbua akili na muda wetu kuvipata. Hiyo ndiyo thamani ya kitu inavyopimwa katika akili ya mwanadamu
Kula buyu fanya mambo yako, akikutafuta fresh na akichapa lapa we songa mbele
Halafu katika ulimwengu wa texting..mwanaume hutakiwi ujieleze sana. Naona hapo demu akiandika neno moja , wewe jamaa unaandika maneno ishirini. Demu anakuona boya.
Ulitakiwa pale aliposema nisamehe wewe jibu kwa kifupi tu " OK"...
Utaona jinsi utakavyoishughulisha akili yake kukufikiria kama umemsamehe kweli au bado umekasirika