Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,110
- 158,965
Sijambo Shemeji, umependeza!
Sijambo Shemeji, umependeza!
sawa lakini kuwa na mwenza sio vibaya na kumchunguzahebu soma kijana achana na huyo demu atakupotezea muda tu kama kuoa muda bado sana subiri upate kazi ndio utafute mke. Nadhani hata huyo binti nae muda wa kuwaza kuolewa bado sana
sijampendea ngono mkuuSio kwamba valentine ulitaka kumvua kyupi???
udsm....COETUpo chuo gani mwana?
AAA BIBI HARUSI HAELEWEKINasubiria kadi ya mwaliko
nikienda kanisani kwa ajiri ya kumpata demu, ntakuwa namkufuru munguAnza kwenda kanisan kwao, akikuona atafrahi na utampata kirahis.
Ukikamilisha mpango wako inaacha na unaendelea na harakati zako
Kama unataka kumpata subiri hadi utakapomuoa. Km kweli unampenda utamsubiri hadi umwoe vinginevyo utakuwa player ww.Kuna dada mmoja wa kilokole, tunasoma nae hapa chuoni, nimetokea kumpenda tena sana. Lakini huyu dada hanielewi kabisa, yeye mambo ya kidunia hajui hata kidogo. Mitandao ya kijamii huwezi kumkuta japo ana simu inayoweza kuaccess hiyo mitandao.
Valentine hajui hata maana yake nini, sio mtoto ni first year wa chuo kikubwa Tz. Ukweli nampenda na yeye alikuwa ashaanza kunizoea lakini sasa mtoto kabadilika hapendi kupokea simu yangu, hata sms zangu hajibu. Ukweli nampenda sio kwa ajili ya kumchezea ila anaonekana ana sifa ambazo napenda mke ambaye ntamuoa awe nazo.
Nifanyeje ili niweze kumpata huyu mlokole kama issue ya dini me ni mkatoliki.
Hauko serious!nikienda kanisani kwa ajiri ya kumpata demu, ntakuwa namkufuru mungu
uuuuuu ni shidaHauko serious!
huyo demu anahitaji mfia dini, lasivyo utaishia kuwa mpenzi mtazamaji
Okoka kwa muda!du
uuuuuu ni shida
mkuu ulivyosema me naona ni kweli kabisa ntajitahid lakini kuwa na mpenzi wa kilokole lazima na wewe uokoke?Wahenga walinena kuwa daima ndege wafananao huruka pamoja.....huwezi kumkuta njiwa kwenye kundi la kunguru.....
Maana ni kwamba ili muwe pamoja...iwe kama marafiki au wapenzi lazima kuwe vitu vinavyowaunganisha.....
Kwa jinsi unavyoeleza ni kuwa wewe na huyo binti kuna vingi vinavyowaweka mbali na ndio maana hampo karibu.....
Jaribu kujisogeza kwenye interest zake....na wewe utakuwa na nafasi kwenye maisha yake.....ni jambo linalochukua lakini ni rahisi kama ukiwa na nia......ya dhati......
Duuuuhhujamdanganya vizuri
wanawake wote wanadanganyika
ok thanks a lotOkoka kwa muda!
nina mfano ya hai kabisa, jamaa yangu alibadili dini kabisa kuwa muislam, akafunga ndoa na baada ya muda akaachana na uislam na kumpiga marufuku mkewe wake kabisaaa, sasa hataki habari za uislamu nyumbani kwake, wanaishi vizuri
mkuu ulivyosema me naona ni kweli kabisa ntajitahid lakini kuwa na mpenzi wa kilokole lazima na wewe uokoke?