Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,099 Oct 7, 2011 #1 Yaani anataka kumdaka mama Obama.....mama naye mjanja anatoa kamkono
Hute JF-Expert Member Nov 25, 2010 6,537 6,459 Oct 7, 2011 #2 obama kamwangalia kwa jicho kali...yupo tayari kwa lolote hata tifu kutetea mali zake...hahaha.
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,099 Oct 7, 2011 Thread starter #4 ***** kweli hili zee......
CAMARADERIE JF-Expert Member Mar 3, 2011 4,419 1,920 Oct 7, 2011 #7 Aaah wapi.......kaambulia mkono tuuu
Billabong Senior Member Jun 2, 2011 103 13 Oct 7, 2011 #8 Analeta mbwembwe kwa my wife wa mtu noumer.
MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,604 Oct 7, 2011 #10 Huyo mzee hata kama kigogo utakivisha sketi atakishughulikia tu, hapitwi. Umenikumbusha nyimbo ya "Asumani...kila kipitacho Asumani hutamani".
Huyo mzee hata kama kigogo utakivisha sketi atakishughulikia tu, hapitwi. Umenikumbusha nyimbo ya "Asumani...kila kipitacho Asumani hutamani".
S Somi JF-Expert Member Feb 7, 2009 3,609 4,361 Oct 8, 2011 #12 obama amegundua berlusconi amemtamani mke wake hajafurahishwa na hilo, wataliano hasa wenye umri mkubwa wanapenda sana wanawake weusi
obama amegundua berlusconi amemtamani mke wake hajafurahishwa na hilo, wataliano hasa wenye umri mkubwa wanapenda sana wanawake weusi
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 Oct 9, 2011 #13 haaa af kakomaaa yani hataki mchezo mnnh ila mama bora kakataa mana jamaa ni mtaaata
pascaldaudi JF-Expert Member Mar 25, 2009 534 96 Oct 9, 2011 #14 Alishawahi kupelekewa bomu na masela wake alikuwa hajatoa protection fee (za kimafia), basi walinzi wakaligundua, wakamwambia mzee tunakukumbusha tu ile fee hujatoa!! Italy noumaaaa!!
Alishawahi kupelekewa bomu na masela wake alikuwa hajatoa protection fee (za kimafia), basi walinzi wakaligundua, wakamwambia mzee tunakukumbusha tu ile fee hujatoa!! Italy noumaaaa!!