Huyu Baba Kiboko..

This has nothing to do with money. Kwani hela ya kodi anayopata toka kwa binti yake ina tofauti gani na kodi toka kwa mtu mwingine?
 
Uhuru gani?

Hebu msome PJ hapa chini

Sijajua uhuru tunouzungumzia hapa ni wa vipi!
Lakini nijuavyo mimi ni kuwa ishu si baba kupata senti za upangaji tu!
Binti kwenda mbali kujitegemea ni zaidi ya kodi!
Actually kuwa mbali na nyumbani inamwezesha mtu ku'interact na jamii kwa mapana zaidi! Kuna kero za upangaji ambazo tuliopata kupanga wote tunazifahamu, ambapo kwa kukaa nyumbani atazisikia redioni!, na kwa hali hiyo binti hatajengeka ipasavyo!
Kuna watu watakuwa Limited kufika pale nyumbani kwake, kisa ni kwa baba-mtu...hata kama anaishi kwa kupanga watu hawatajua hilo, watajua anaishi chini ya wazazi, hivyo umakini fulani unahitajika kuingia nyumbani kwake!

Hivyo kumshauri binti apange kwa babaye ni kosa kubwa, aidha ni kuvuruga saikolojia ya binti...Huyu mzee atakujaona vituko ambavyo hakutarajia, na atapata presha bure!
 
ni nyumbani afu bado alipie???kumbuka huo utamaduni upo western countries ambapo wenzetu ukishafikisha 18 yrs ka bdo upo home unakua unalipa kodi lakini bongo hatujafika huko jamani loooh

Ndo tunakoelekea huko...si unaona huyu baba ameanza........
 
Kwa upande mwingine sio vibaya...kama kuna chumba ambacho mpangaji yeyote angekaa, why not binti yake?? Ila tu binti hatakuwa na uhuru...kama angeishi sehemu nyingine.

Labda ndo huo uhuru baba hataki binti yake awe nao kaamua kutumia gia ya kumpangisha lol
 
Back
Top Bottom