Huyu Anatafuta,

Naomba CV zao....................sasa hv kabla sijatongoza nasoma kwanza CV yake, yaani a submitted paper written CV na ikiwezekana na video kabsa.............nimegundua kuwa wanawake na hata wanaume wana exprience nyingi sana za kimapenzi ambazo zinamfanya awe disqualified badala ya kumfanya awe qualified!!
Falsafa!!
 
:yo:Kweli ni nzuri mazee...huyo atatafutwa Mbuzi Nzee sio wa kutafuta
 
Last edited by a moderator:
Mbuzi mzee una habari binti yako mmoja huko singida kazaa binadamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…