Huyu anasikiliza nini.............?

Mtambuzi huwa nikiona uzi kutoka kwako nafungua haraka kwa kutegemea bonge la somo! Ila leo umeniacha hoi, kwa kuja na swali. Najaribu kufikiria anasikilizia nini, huenda anasikilizia mapigo ya moyo. Lol!
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi huwa nikiona uzi kutoka kwako nafungua haraka kwa kutegemea bonge la somo! Ila leo umeniacha hoi, kwa kuja na swali. Najaribu kufikiria anasikilizia nini, huenda anasikilizia mapigo ya moyo. Lol!
mwaJ ,nimejikuta nikishikwa na udadisi, nikaona niwaulze wenzangu humu, maana huu uzee wangu huu napitwa na mengi.........!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…