Huyu anaitwa, Deo Sanga

Huyu anaitwa, Deo Sanga

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,439
Huyu naye anadai ana uwezo wa kuitoa Tanzania hapa ilipo!!!
1544995_705688969510037_6096386663798265136_n.jpg
 
kwanini asishangilie, wakati kapiga hela ya kutosha.
 
bungeni: anna makinda,mheshimiwa deo sanga mchango wakoo!
deo sanga: ntatoa mifuko mia mbili ya cement.
anne makinda:
 
Hahaha Jah Pipo anashangilia baada ya kutengeneza katiba bora
 
hivi hakuna mashine ya kupima nini kilichomo ndani ya ubongo wa mtu kabla hajaingia kwenye majadiliano yanayohusu taifa?
 
Hao waliosimama wakimpigia makofi na kushangilia nao walewale....ukoo wa panya.
 
Hahaha Jah Pipo anashangilia baada ya kutengeneza katiba bora
 
Kilichomfanya kukata mauno ni kipengele cha Mbunge kutokuwa na elimu,

Sanga ameishia darasa la saba.

jah people, moja ya viongozi mbumbumbu kabisa katika awamu hii. Yeye na mbumbumbu wenzake wengi wao wana hela za kuwatosha waendelee na biashara waache mambo ya kuendesha nchi kwa watu wenye uwezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom