Huyu amri kutoka juu anakanyaga katiba atakavyo jina lake anaitwa nani?huyu mtu anajua baba wa taifa alisemaje kuhusu kiongozi kuheshimu katiba?
Je anajua mwalimu alisema umuhimu gani kuhusu kuheshimu katiba?kweli huyu amri kutoka juu ni zaidi ya katiba na sheria na nchi hii ni kiboka ya watanzania