Huyo ndio Lowassa anaeinyima usingizi Kikwete na CCM yake

Huyo ndio Lowassa anaeinyima usingizi Kikwete na CCM yake

BAFA

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2011
Posts
3,059
Reaction score
5,937
Naam, wakati wanaccm wandakindaki wakihatadharisha mchezo Wa Kikwete na familia yake kumkata Edward lowassa, hawakuelewa athari yake hata hivo Kikwete alijua kuwa Lowassa ni dubwana kubwa lakini aliamua kudharau kwa maksudi. Pia nakumbuka wachambuzi mashuhuri walitoa maoni yao kuhusu hayo na mara baada ya mchakato Wa ccm walitweet ahsante jk kwa kuwapa upinzani nchi. Kwa waswahili (wakwere) wengi fitina za familia ni kubwa kushinda maslahi yeyote yale nahisi alidharau ushauri Wa usalama akaweka wa ridh na mama k.

Daah hii pass ya kisigino ya UKAWA ni hatari, wakati ccm wakitegemea hii week itakuwa yao kwenye media na midomo ya watanzani hasa kwa kuwa wanafungua campaign zao lakini mambo tofauti aisee kwani kuanzia leo na kesho habari kubwa ni uingiaji Wa Sumaye ukawa(heading za ksho na makala zote ni kuhusu sumaye na ukawa). Kwa hiyo psychology na morali ya wanaccm hasa makada imeshuka sababu walitegemea watakusanya nguvu zao zote hasa muda huu ambao jeshi la polisi kuzuiwa maandamano ya kurudisha form za uraisi, ubunge na udiwani kwani waliona hili linawapa nguvu ukawa kwa hyo wakajua wamewadhibiti hawatakuwa na publicity tena. Lakini hawa kujua kuwa wanadeal na mtu ambae ana mikakati ya kutosha iliomsaidia hata kumueka madarakani raisi. Sasa kuanzia kesho hamasa ya wanaccm imepungua kwa kiasi kikubwa kwani sumaye ni mtu mkubwa sana na wameshangaa imekuaje? Instead ktk mkutano wao wataimba na kukimbilia personal attacks dhidi ya sumaye na lowassa badala ya Sera na hapo ndipo washavurugwa kbisa.

Huruma yangu kwa Magufuli na suluhu kwani wanacheza ngoma sio size yao kwani ngoma hii jakaya mwenywwe inamhenyesha lkn kwa tahayuri aliokuwa nalo hana jinsi zaidi ya kuogopa lawama chama kisimfie mikononi kwani anajua fika kuwa lowassa is ahead them 1000m kwa kila step wanayoitumia.
 
.....kudaaadadadadadeeeeeeekkiiiiiiii rahaaaaaaaa mpaka waisome nuuuummmbeeerrrrrr.....piiiiiiipoooooooozzzzz...! WOTE ukawaaaa...
 
CCM wali underestimate akili za viongozi wa UKAWA.....
 
sio washaur wap wabaya mkuu...dhalau ndo tatizo...ww mpiga kura anaewapeleka ikulu, anayewafanya watembelee ma v8 ....anaefanya waruke nchi zote za dunia ilihali yeye yupo chali mtaani leo wanamuita munywa viroba.....
thank you zakary kakobe kuongea na mungu wa wanyonge
 
Kwa bahati mbaya sana, Kikwete ndio amekuwa kama mgombea wa CCM kwa sasa.... Magufuli anafuata nyumba kama mkia tu.
 
Tumeshawashtukia na ukaskazini wenu. Hampqti kiti kanda ya ziwa maana na sisi tunaanza rasmi kujimobilize. Hapa hakuna cha UKAWA ni mpango wa Mungu bali mnasupport ukaskazini ili mdivert uchumi wa nchi mpeane nyie. Ukabila ni jadi yenu na angalau tumewashtukia mapema. Mnataka kufanya kama mlivyofanya TRA na CRDB. Humo ni Kimaro, Masawe, Mushi, Kimei ,Kwayu nk. Hatukubali upuuzi huu.
 
sio washaur wap wabaya mkuu...dhalau ndo tatizo...ww mpiga kura anaewapeleka ikulu, anayewafanya watembelee ma v8 ....anaefanya waruke nchi zote za dunia ilihali yeye yupo chali mtaani leo wanamuita munywa viroba.....
thank you zakary kakobe kuongea na mungu wa wanyonge

Wale wananchi waliomsindikiza EL kuchukua form ya kugombea waliitwa wahuni, wasio na kazi.
Sasa watajua wahuni wenye vikatioa aka vichonjio huwa wanafanyaje kwenye uchaguzi.

Wasijaribu kuiba kura..... Intelijensia ya UKAWA kwa sasa ipo juu mno....
 
Sumaye amewapiga penyewe kabisaaa

.....kudaaadadadadadeeeeeeekkiiiiiiii rahaaaaaaaa mpaka waisome nuuuummmbeeerrrrrr.....piiiiiiipoooooooozzzzz...! WOTE ukawaaaa...

point mkuuu..

Mungu ana njia nyingi. haya ninayoyaona sikuwahi kuyawaza hata mara moja kwamba ukombozi wa watanzania unapatikana/tptikan kwa njia hii. kweli Mungu ni mwema.

Yaani Sumaye kawagonga CCM nyuma mbelee nyuma mbele nyuma mbeleee mbeleee sasa mbeleeeee mbeleeee nyumaaaa nyumaaaa nyumaaaaaaa....

Kawamalizaaaa kabisaaaaaaaa CCM...!!!

CCM washauri wao wabaya

Masikini Jini CCM

Bado warioba hadi mpoteane maana zarau zilikuwa nyingi sana

CCM wali underestimate akili za viongozi wa UKAWA.....

Mungu amesikia kilio cha watanzania. October 25 kitaeleweka.
 
Back
Top Bottom