Huwa sipo serious na wanawake

Huwa sipo serious na wanawake

Tafutaa helaaa tenaa c Hela tu helaaa nyingi sanaaa ......

Hakikaa uku tunampelekeaa wanawake watatuuziaa k kama tununuvyo vtu dukanii...

Utomb***km una helaaa...
 
Tafutaa helaaa tenaa c Hela tu helaaa nyingi sanaaa ......

Hakikaa uku tunampelekeaa wanawake watatuuziaa k kama tununuvyo vtu dukanii...

Utomb***km una helaaa...
Naunga mkono hoja
 
Ukiwa nahela utaambiwa hujui mapenzi.
Ukiwa nahela watakuambia hujui kupenda
Ukiwa nahela utaambiwa unakibamia
Ukiwa na hela utaambiwa umezidi unene tafuta 6 pack
Naukilazimisha kupenda utakua na stress mno.
In nutshel huwezi mpafuraha mtu mwingine bali ishi kwaurefu wakamba yako
 
Ukiwa nahela utaambiwa hujui mapenzi.
Ukiwa nahela watakuambia hujui kupenda
Ukiwa nahela utaambiwa unakibamia
Ukiwa na hela utaambiwa umezidi unene tafuta 6 pack
In nutshel huwezi mpafuraha mtu mwingine bali ishi kwaurefu wakamba yako
Hizo zote ni brah brah

The bottom line is tafuta hela
 
Huu ni motto wangu

Tangu yule form three Baby J,pale Lindi Sekondari 2007 alivyonitamkia wakati namtongoza Ili twende beach pale Kariakoo Kwa chini Ili
kibamia changu kitoe gundu.
"Kilimba we ni handsome,ila huna hela,tafuta kwanza hela ndo uje"

Ile kauli iliniuma kishenzi,hata ule wali siku ya Jumatano sikuula nakaenda zangu beach nikapiga nyeto nikarudi kulala bwenini Torabora

Machungu yalipoisha Ile jioni nikaenda darasani kukuaza msuri wangu wa HGL

Lugha ya kimataifa ambayo mwanamke anaielewa kwa haraka ni HELA,PESA,FARANGA,DOLLAR na POUND


Ukiona mwanamke anakwambia sijui six goddamn packs,sijui nyenyenye usichukulie serious


Ukitaka kuwatawala Hawa viumbe we punguza userious,be cool halafu pochi nene utawala mpaka kibamia/tango litapata ganzi
Mbona mimi siwapi hela na nawala kama kawaida. Ukitanguliza pesa lazima wakuone boya na wakuchune. Kwani unadhani wao hawaoni noma kuonekana makahaba?
 
Mbona mimi siwapi hela na nawala kama kawaida. Ukitanguliza pesa lazima wakuone boya na wakuchune. Kwani unadhani wao hawaoni noma kuonekana makahaba?
Wewe ni 10 kati ya 100

Hongera for being lucky and exceptional
 
Back
Top Bottom