Huwa sipo serious na wanawake

Huwa sipo serious na wanawake

Kilimbatzz

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2023
Posts
9,131
Reaction score
14,610
Huu ni motto wangu

Tangu yule Baby J, pale Lindi 2007 alivyonitamkia wakati namtongoza Ili twende beach pale Kariakoo Kwa chini Ili
kibamia changu kitoe gundu.
"Kilimba we ni handsome,ila huna hela,tafuta kwanza hela ndo uje"

Ile kauli iliniuma kishenzi,hata ule wali siku ya Jumatano sikuula nakaenda zangu beach nikapiga nyeto nikarudi kulala bwenini Torabora

Machungu yalipoisha Ile jioni nikaenda darasani kukuaza msuri wangu wa HGL

Lugha ya kimataifa ambayo mwanamke anaielewa kwa haraka ni HELA,PESA,FARANGA,DOLLAR na POUND

Ukiona mwanamke anakwambia sijui six goddamn packs,sijui nyenyenye usichukulie serious

Ukitaka kuwatawala Hawa viumbe we punguza userious,be cool halafu pochi nene utawala mpaka kibamia/tango litapata ganzi
 
[emoji16][emoji16]
Huwa najua wanasoma hivi[emoji4][emoji116]
IMG_20220304_020457.jpg
 
Back
Top Bottom