wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,476
- 29,223
Ni hivi wakuu kuna siku niliamka asbh na mapema kuwahi ofsini sasa kabla sijafika nikaputia mgahawani ninapokungwa chai!! Pale nikamwita mhudumu aje kunisikiliza!! Wakati nimetulia kwa pembeni kidogo nikamwona mrembo mzuri sana katulia nikaanza kujisemea kimoyomoyo hapa lazma niondoke nae!!!wakati nawaza namna ya kuanza mauchokozi yangu gafla akaja jamaa pale akanza kumsema yule mrembo!!yule mrembo akanza kuomba msamaha!!!""john nisamehe lliez mme wangu sitorudia tena!! Kweli john nimekoma!!"" Yule jama hakuongea chochote nikaona anandoka na yule mrembo akabaki analia!! Mimi kwa harakaharaka nikanyanyuka kwenda kumbembeleza yule mrembo!!wakati nanyoosha mkono kumshika bega!! Kwa pembeni nikasikia sauti!!!! Samahani brother tunafanya shooting ya filum unatuharibia picha!!!!