themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Ukiwakuta waislam wanavyopiga soga hapa mtandaoni unaweza kusema Nchi za Bara la ulaya na Marekani sio watu wazuri.
Ila ukimwambia mwislam chagua Upate visa ya Saudi Arabia au Upate ya Marekani 99% watakwambia ni heri tuende ulaya au Marekani ushahidi upo ubalozini huko namna visa zinavyogombaniwa na idadi ya waislam wanaozamia ulaya kwa kasi ya 4g.
Mabinti wa kiislam na vijana wengi wanaoenda Saudia kutafuta maisha wengi wanarudi vilema wengine wanauliwa kabisa ila walioingia nchi za ulaya wanarudi na maendeleo ushahidi wenye ndugu huko mnao.
Mitandao inayotumika kupiga soga kuwa Wazungu ni wabaya imetengenezwa na hao hao wazungu, kuacha kuitumia hawawezi ukiwafungia siku moja wanaumwa.
Saudi arabia ambayo ndio Icon ya uislam inalindwa na mmarekani.
Ila ukimwambia mwislam chagua Upate visa ya Saudi Arabia au Upate ya Marekani 99% watakwambia ni heri tuende ulaya au Marekani ushahidi upo ubalozini huko namna visa zinavyogombaniwa na idadi ya waislam wanaozamia ulaya kwa kasi ya 4g.
Mabinti wa kiislam na vijana wengi wanaoenda Saudia kutafuta maisha wengi wanarudi vilema wengine wanauliwa kabisa ila walioingia nchi za ulaya wanarudi na maendeleo ushahidi wenye ndugu huko mnao.
Mitandao inayotumika kupiga soga kuwa Wazungu ni wabaya imetengenezwa na hao hao wazungu, kuacha kuitumia hawawezi ukiwafungia siku moja wanaumwa.
Saudi arabia ambayo ndio Icon ya uislam inalindwa na mmarekani.