missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,008
- 7,338
Inaonekana we hauvaagi hayo manguo, na kama unayavaaga basi hauvaagi ch*pi au taiti
Haha..Haya Jenerali.
Inaonekana we hauvaagi hayo manguo, na kama unayavaaga basi hauvaagi ch*pi au taiti
Baadae akaumba nini baada ya hivyo vitu
Mmmh kweli huya yanakaa kimitego mnoo
Mkuu unanichekesha sana!
Sasa kama hivyo , madera bei chee tuu 15000-25000..
Mnunulie mkeo madera kama 10 hivi na taiti kama 10 hivi ili awe anavaa full time...roho yako ipate kitu inataka..!
Lol polen san
Nikipishana na mwanamke amevaa yale manguo yao wanayaita cjui madera halafu akawa kalichomekeza kwny chupi au taiti huwa wananipagawisha sana
Mkuu umpiga ikulu
Ushauri muruwa kabisa yaani mke wake ampige marufuku kuvaa mavazi mengine iwe mwendo wa madela na kuchomekeza tu
Patamu hapo!!!!!!!!!
Ha ha ha ili aendelee kutamani vya kwake mkuu.