Aisee watu wanatofautiana!!!
Maana mimi mke wangu inabidi nimkumbushe mara mbil mbili siku Sikinde wana shoo, au siku anakuja mzee wa kitambaa cheupe... Lakini mashindano ya u-miss napewaga taarifa wiki kadhaa kabla, na nikigoma kwenda nae atapiga mgomo wa mtoko miezi 3... Tukifika yeye ndo wa kwanza kunionyesha wazuri na kuwachambua, na huwa hadi tuna-bet kama utabiri wetu kwa mshindi utakuwa tofauti...