Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,876
- 33,308
Kuna binadamu ambao ukiitazama midomo yao, macho yao na pua zao unapata majibu ya walivyo hata bila kuulizaHivi Gerson Msigwa unataka Kutudanganya kuwa kwa Hadhi yako uliyokuwa nayo na ambayo hata sasa unayo ni kweli tokea uwe hapo Ikulu mwaka 2015 hadi leo hii ulikosa kabisa muda hata wa kumualika Marehemu 'Fredwaa' hapo Ofisini Kwako Ikulu au hata Nyumbani Kwako au sehemu yoyote na mkaonana mpaka leo hii uje na huu 'Unafiki' wako uliopitiliza na usiovumilika.