mkuu mim kwa upande wangu nadhani..watu wakubwa au famous wanaoangaliwa sana kwa kipind hiki ni hao wanasiasa especially rais,vice,spika,ns na mawaziri kulingana na serikali iliyopo saiv hao ndio watu wamekaa sana midomoni mwetu pia wanafuatiliwa kwa ukaribu zaid,na wananchi humu ndani kwasababu wana impact kubwa au kulingana na hali ilivyo na sio kwamba ikija habari imeletwa kuwa rais kaenda kumtmbelea mkewe hospital mnh basi habar itajadiliwa ivo hapana inajadiliwa kwa mapana yake na mambo mengi zaid sababu humu kuna great thinkers so jarbu kufatilia hta kam ni lada wazir fulani kaoa watu hawatachangia uzi kuhus harusi yake no,kuna mengi nje na hilo kubwa watajadili.so ndo iko ivo mkuu