Huu wimbo wa AJE una nini kwani

Huu wimbo wa AJE una nini kwani

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,401
Sijui ninini kinawavutia watu katika huu wimbo

Tangu utoke ni nyimbo nyingi nzuri zimetoka lakini bado unasikika tu kwenye maredio matv na kwenye maclub na ukipigwa kwenye matamasha ndio kabisa watu huchanganyikiwa

Hongera mtunzi wa huu wimbo ila bado sijajua nini kinaufanya wimbo huu upendwe kias hiki
 
Ni nzr Sanaa huo Wimbo.. Itakua jamaa anajua sanaaa
 
Hapo ndo tofaut ya kiba na platnumz, kiba miziki yake mingi bado ikipigwa hata miaka kumi ijayo utahisi ladha ileile ya mwanzo kiufup miziki yake inaishi, bt anapokosea ni jinsi ya kujikita na kuinvest heavily kwenye music industry which is very competitive ie. hana mbinu thabit za kushindana kibiashara

Mondi nyimbo zake zinawah kuchuja, bt anajua jinsi ya kuziingiza sokon, video ya uhakika na Promo za kutosha yan ukiisikia kwa mara ya kwanza utaona mbaya bt as days go utaipenda coz video nzuri na inapigwa pigwa redion kila saa bt baada ya miez michache unaanza kuona haina mvuto kivile though anazo chache ambazo naamin zitaishi pia, eg. ukimuona, huu wimbo japo hauna video bt ni bonge la hit yan naufil had kesho n naamin vizazi vijavyo wataukuta kwenye utamu ulele
 
Ila huu wimbo umeishi kiukweli kabisa, ni kama Namba 1 ya Mond ulivyokaa mda mrefu kwenye chati
 
Hapo ndo tofaut ya kiba na platnumz, kiba miziki yake mingi bado ikipigwa hata miaka kumi ijayo utahisi ladha ileile ya mwanzo kiufup miziki yake inaishi, bt anapokosea ni jinsi ya kujikita na kuinvest heavily kwenye music industry which is very competitive ie. hana mbinu thabit za kushindana kibiashara

Mondi nyimbo zake zinawah kuchuja, bt anajua jinsi ya kuziingiza sokon, video ya uhakika na Promo za kutosha yan ukiisikia kwa mara ya kwanza utaona mbaya bt as days go utaipenda coz video nzuri na inapigwa pigwa redion kila saa bt baada ya miez michache unaanza kuona haina mvuto kivile though anazo chache ambazo naamin zitaishi pia, eg. ukimuona, huu wimbo japo hauna video bt ni bonge la hit yan naufil had kesho n naamin vizazi vijavyo wataukuta kwenye utamu ulele

apo umenena mkuu
 
Sijui ninini kinawavutia watu katika huu wimbo
Tangu utoke ni nyimbo nyingi nzuri zimetoka lakini bado unasikika tu kwenye maredio matv na kwenye maclub na ukipigwa kwenye matamasha ndio kabisa watu huchanganyikiwa
Hongera mtunzi wa huu wimbo ila bado sijajua nini kinaufanya wimbo huu upendwe kias hiki
Beats nzuri zinazochezeka mitindo tofauti ya kudance!
 
Back
Top Bottom