Huu wimbo utata mtupu!!

Huu wimbo utata mtupu!!

Angalia video ndo utaelewa.....
Hawa hapa
d1c32c0210dbca97be536b71f847f61c.jpg
5ee0ed54dac93235affde4ef958aac05.jpg
 
Juzi kati alihojiwa kuhusu hilo,akajibu,ilitakiwa iwe philemonia,ambalo ni jina la kike,ila wakati wa kuimba likaleta shida,ko walifupisha ili asitoke nje ya mpangilio.

Hebu waone wahusika uoanishe na kauli hiyo. Pia jina la kike sio philemonia bali philomena ambalo lingefit vizuri tu !!!!!!!

 
Juzi kati alihojiwa kuhusu hilo,akajibu,ilitakiwa iwe philemonia,ambalo ni jina la kike,ila wakati wa kuimba likaleta shida,ko walifupisha ili asitoke nje ya mpangilio.
mbona kwenye picha kaweka wanaume?kwanini asingesema hadija ?haya mambo yalikuwepo sana yangu miaka hiyooo
 
Back
Top Bottom