Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Kuna wimbo nausikiliza hapa, huwa naupenda sana ingawa sina hakika umeimbwa na nani na bendi ipi ya zamani. Sijui ni Mbaraka Mwishehe (Ndiye mwanamuziki wa zamani ninayemfahamu)
Una maneno yanaimba
"Mapenzi yananivunja mgongo ooh mie..
Silali naumwa mgango.
ooh ooh mie...
Sijawahi kuelewa mwambaji alimaanisha nini... Mapenzi yanamvunja mgongo!!!!
Kama kuna anayemwelewa naomba anijuze nami. Pengine wanamuziki wa zamani walikuwa wanatumia sana mafumbo...
Una maneno yanaimba
"Mapenzi yananivunja mgongo ooh mie..
Silali naumwa mgango.
ooh ooh mie...
Sijawahi kuelewa mwambaji alimaanisha nini... Mapenzi yanamvunja mgongo!!!!
Kama kuna anayemwelewa naomba anijuze nami. Pengine wanamuziki wa zamani walikuwa wanatumia sana mafumbo...