Huu uwanja ndio ulifanyiwa marekebisho??

Huu uwanja ndio ulifanyiwa marekebisho??

daaaaah hata mimi hili limeniumiza b 30 inatumiwa kijinga namna hii
 
BABA kati ya siku nilipoumia ni leo yani billion 30 zimetumika kufanya kitu ambacho hakionekani, tena wameufunga uwanja muda mrefu hata drainage system hazipo, hayo marekebisho yalikua ya nini? Nimeamini hii nchi kila mtu anapambania tumbo lake.
Watu washapiga mpunga hapo
 
Mkuu unaelewa maana ya uwanja standard kwa ajili ya hii michuano?
Ulaya mvua hazinyeshi? Hali kama hii ushaiona wapi ?
Shida kubwa inaanzia tulipoambiwa pitch iko tayari inamaana hapo unapoiona ndiyo ishafanyiwa marekebisho hivyo from ile 30+B
Kuna Ile mo Hussein katelezza kwenye tope kidogo waarabu waweke chuma
 
Yawezekana Kuna timu inafugia mbuzi huko ndio wameuharibu
 
Kwahiyo sasa hivi ndgu muarabu uwanja ndio umekukwamisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom