Kama wanaaminiana na mmoja anataka kwenda sehemu wakati mwenzake ana shughuli nyingine waende tu. Hata ukisema aende na mwenyewe kama ni wanaume/wanawake anataka atakutana nao huko tu.
Nmh, mimi siamini kama hao wazungu wanafanya hivyo kissana! Labda iwe imetokea mume kasafiri, kaenda mji mwingine ambapo kuna huyo shosti wa mkewe au GF wake!
Sasa BAK kama lilikuwa gumzo kubwa kwenye nchi ya Magharibi uliyopo, huoni kuwa inamaanisha hilo tukio si la kawaida?
G hii niliyoandika ilitokea Bongo hao Wazungu walikuja kama MATX
G hii niliyoandika ilitokea Bongo hao Wazungu walikuja kama MATX