Kiplayer JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 1,355 Reaction score 2,261 Sep 26, 2024 #1 Kuna style ya ulaji wali kwangu ni mpya. Mdau anatengeneza Tonge la wali na kuchovya kwenye mchuzi kama ugali halafu linapelekwa mdomoni. Ulaji huu unasambaa sana kanda ya ziwa. Kama hujazoea ni changamoto kiasi hasa ukiwa mgeni wa kaya ambayo hutumia sahani moja wakati wa kula.
Kuna style ya ulaji wali kwangu ni mpya. Mdau anatengeneza Tonge la wali na kuchovya kwenye mchuzi kama ugali halafu linapelekwa mdomoni. Ulaji huu unasambaa sana kanda ya ziwa. Kama hujazoea ni changamoto kiasi hasa ukiwa mgeni wa kaya ambayo hutumia sahani moja wakati wa kula.
Mamtolo Senior Member Joined Feb 27, 2018 Posts 195 Reaction score 219 Sep 26, 2024 #2 Hii style yangu...nimeshtuka nikahisi umeniona mahali au namna gani.
S sir wizow New Member Joined Sep 26, 2024 Posts 2 Reaction score 3 Sep 27, 2024 #3 Kwa hiyo kama huelew?
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,766 Reaction score 1,251,462 Oct 3, 2024 #4 Duh mbona wanakosea
kipanga85 JF-Expert Member Joined Apr 15, 2024 Posts 2,678 Reaction score 7,281 Oct 3, 2024 #5 hii nchi ina mambo ya ajabu sana...,hadi namna ya kula wali inajadiliwa?? kaaaaazi kweli kweli
G Gusa achia twende kwao JF-Expert Member Joined Jan 3, 2025 Posts 916 Reaction score 1,030 Apr 17, 2025 #6 Kiplayer said: Kuna style ya ulaji wali kwangu ni mpya. Mdau anatengeneza Tonge la wali na kuchovya kwenye mchuzi kama ugali halafu linapelekwa mdomoni. Ulaji huu unasambaa sana kanda ya ziwa. Kama hujazoea ni changamoto kiasi hasa ukiwa mgeni wa kaya ambayo hutumia sahani moja wakati wa kula. Click to expand... ππ tenah chakula kikiwa cha Moto wanakuacha
Kiplayer said: Kuna style ya ulaji wali kwangu ni mpya. Mdau anatengeneza Tonge la wali na kuchovya kwenye mchuzi kama ugali halafu linapelekwa mdomoni. Ulaji huu unasambaa sana kanda ya ziwa. Kama hujazoea ni changamoto kiasi hasa ukiwa mgeni wa kaya ambayo hutumia sahani moja wakati wa kula. Click to expand... ππ tenah chakula kikiwa cha Moto wanakuacha
Dexta JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 2,322 Reaction score 5,804 Apr 17, 2025 #7 Wali mnato.
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 87,475 Reaction score 151,589 Apr 17, 2025 #8 Kiplayer said: Kuna style ya ulaji wali kwangu ni mpya. Mdau anatengeneza Tonge la wali na kuchovya kwenye mchuzi kama ugali halafu linapelekwa mdomoni. Ulaji huu unasambaa sana kanda ya ziwa. Kama hujazoea ni changamoto kiasi hasa ukiwa mgeni wa kaya ambayo hutumia sahani moja wakati wa kula. Click to expand... Wali wao, mboga yao, kula watapanga wao. Ukitaka kula style yako wali wako na wewe ni haki yako.
Kiplayer said: Kuna style ya ulaji wali kwangu ni mpya. Mdau anatengeneza Tonge la wali na kuchovya kwenye mchuzi kama ugali halafu linapelekwa mdomoni. Ulaji huu unasambaa sana kanda ya ziwa. Kama hujazoea ni changamoto kiasi hasa ukiwa mgeni wa kaya ambayo hutumia sahani moja wakati wa kula. Click to expand... Wali wao, mboga yao, kula watapanga wao. Ukitaka kula style yako wali wako na wewe ni haki yako.
Last KING Ontuzu JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 732 Reaction score 1,199 Apr 17, 2025 #9 Kwani umewanunulia huo msosi mpk ujadili Style ya kula, Au mwanaume mzima unaleta mada kama hii tujadili, Ebu kajadili na dada zako huko ππ
Kwani umewanunulia huo msosi mpk ujadili Style ya kula, Au mwanaume mzima unaleta mada kama hii tujadili, Ebu kajadili na dada zako huko ππ
Kiplayer JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 1,355 Reaction score 2,261 Apr 18, 2025 Thread starter #10 Last KING Ontuzu said: Kwani umewanunulia huo msosi mpk ujadili Style ya kula, Au mwanaume mzima unaleta mada kama hii tujadili, Ebu kajadili na dada zako huko ππ Click to expand... Hata hivyo niliowalenga kwenye huu mjadala ni dada zangu
Last KING Ontuzu said: Kwani umewanunulia huo msosi mpk ujadili Style ya kula, Au mwanaume mzima unaleta mada kama hii tujadili, Ebu kajadili na dada zako huko ππ Click to expand... Hata hivyo niliowalenga kwenye huu mjadala ni dada zangu
The Legacy JF-Expert Member Joined Jun 1, 2022 Posts 8,259 Reaction score 16,181 Apr 18, 2025 #11 Huo ni uchafu mbona. Wasukuma mje hapa,mnakula hovyoo na ni wachafu