kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 367
- 679
Habarini wana jamvi.natumai mu wazima kabisa.
Siku za nyuma kidogo nilileta Uzi humu kuhusu kutoelewa ujauzito alioupata mpenzi wangu .Na hii ni kutokubaliana na maelezo yake ambayo yanakinzana na ukweli kidizaini flani .
Kiukweli naona nabambikiwa bao la mwanaume mwenzangu kabisah. Sasa maamuzi niliyochukua ni kukataa rasmi kujihusisha na huo ujauzito wake japo messages zake za kunilaani zimezidi.
Ila naamini hazitonifika hapa (shingoni), sitonyoosha mikono juu, sitorudi nyuma.
Kwko dear ex
Wako mtiifu uliyetaka kum bambikia mtoto.
NB: Shida siyo hali ngumu, shida ni kulea bao la mwenzio.
Siku za nyuma kidogo nilileta Uzi humu kuhusu kutoelewa ujauzito alioupata mpenzi wangu .Na hii ni kutokubaliana na maelezo yake ambayo yanakinzana na ukweli kidizaini flani .
Kiukweli naona nabambikiwa bao la mwanaume mwenzangu kabisah. Sasa maamuzi niliyochukua ni kukataa rasmi kujihusisha na huo ujauzito wake japo messages zake za kunilaani zimezidi.
Ila naamini hazitonifika hapa (shingoni), sitonyoosha mikono juu, sitorudi nyuma.
Kwko dear ex
Wako mtiifu uliyetaka kum bambikia mtoto.
NB: Shida siyo hali ngumu, shida ni kulea bao la mwenzio.