Huu udini sasa hadi kwenye biashara?

instagram

JF-Expert Member
May 27, 2014
2,091
4,716
Ni kweli kwamba kila mwenye biashara yake ana imani zake za kidini ila sasa wateja mbona ni wa dini zote.

Iweje biashara zako zinahudumia dini zote alafu leo umeamua kisa una mfungo ndo ufunge hadi biashara? Mteja anataka akakae zake ndani ale ice cream na laptop yake unatoa maagizo hakuna mteja kukaa ndani viti viko juu ya meza.

Hatukatai wew una dini yako ila wateja wako siyo wa dini yako tu, kila mtu ana imani yake kama kafunga atafunga, ambaye hajafunga muache aendelee na huduma. Kumbuka biashara yako imejengwa na wateja wa imani zote hadi kukufikisha hapo ulipofika usitake kufosi imani zako kwa wateja wako wengine.

Sasa hii shida gani ukipita kariakoo migahawa kibao imefungwa, au basi na sisi wa imani zingine tususie biashara zenu mkimaliza kufunga muendelee kuuza futari hizohizo tuone.
 
Kuna kundi kubwa sana watu hawajui kwanini WANAFUNGA, ila kwakuwa umefika mwezi wa Kufunga basi wanafunga tu kufata Mkumbo

Waliowengi wanafunga Kula, mtu aliefunga Kula hawezi kuvumilia kukuona wewe unakula kisha akaendelea kuact Normal mbele yako

Ndomana kuna sehemu watu wakionekana wanakula wanapigwa/kuchapwa fimbo,kufokewa,kudhihakiwa na mambo mengine ambayo sio ya kistaarabu

Nadhani viongozi wetu wa Dini zetu wangewekeza nguvu kubwa kwenye kuelimisha watu kwanini wanatakiwa Kufunga

Tofauti na hapo tutakuwa na kundi kubwa la watu wanaoshinda na Njaa ila sio kundi kubwa la wafungaji
 
Kuna kundi kubwa sana watu hawajui kwanini WANAFUNGA, ila kwakuwa umefika mwezi wa Kufunga basi wanafunga tu kufata Mkumbo

Waliowengi wanafunga Kula, mtu aliefunga Kula hawezi kuvumilia kukuona wewe unakula kisha akaendelea kuact Normal mbele yako

Ndomana kuna sehemu watu wakionekana wanakula wanapigwa/kuchapwa fimbo,kufokewa,kudhihakiwa na mambo mengine ambayo sio ya kistaarabu

Nadhani viongozi wetu wa Dini zetu wangewekeza nguvu kubwa kwenye kuelimisha watu kwanini wanatakiwa Kufunga

Tofauti na hapo tutakuwa na kundi kubwa la watu wanaoshinda na Njaa ila sio kundi kubwa la wafungaji
Umeona eeh? Kwamba mimi sili na wewe usile. Siyo kwamba anafunga kwa ibada ya roho yake. Mbona Hyatt hotel ni ya muarabu na serena hotel ni ya mpakistani ila msosi upo mda wote na futari ipo jioni pia. I'm sure ukienda Dubai mchana huu hukosu msosi.
 
Ni kweli kwamba kila mwenye biashara yake ana imani zake za kidini ila sasa wateja mbona ni wa dini zote.

Iweje biashara zako zinahudumia dini zote alafu leo umeamua kisa una mfungo ndo ufunge hadi biashara? Mteja anataka akakae zake ndani ale ice cream na laptop yake unatoa maagizo hakuna mteja kukaa ndani viti viko juu ya meza.

Hatukatai wew una dini yako ila wateja wako siyo wa dini yako tu, kila mtu ana imani yake kama kafunga atafunga, ambaye hajafunga muache aendelee na huduma. Kumbuka biashara yako imejengwa na wateja wa imani zote hadi kukufikisha hapo ulipofika usitake kufosi imani zako kwa wateja wako wengine.

Sasa hii shida gani ukipita kariakoo migahawa kibao imefungwa, au basi na sisi wa imani zingine tususie biashara zenu mkimaliza kufunga muendelee kuuza futari hizohizo tuone.
Mambo mengine ya kishamba tu kila mtu na utala tibu wake
 
Kuna kundi kubwa sana watu hawajui kwanini WANAFUNGA, ila kwakuwa umefika mwezi wa Kufunga basi wanafunga tu kufata Mkumbo

Waliowengi wanafunga Kula, mtu aliefunga Kula hawezi kuvumilia kukuona wewe unakula kisha akaendelea kuact Normal mbele yako

Ndomana kuna sehemu watu wakionekana wanakula wanapigwa/kuchapwa fimbo,kufokewa,kudhihakiwa na mambo mengine ambayo sio ya kistaarabu

Nadhani viongozi wetu wa Dini zetu wangewekeza nguvu kubwa kwenye kuelimisha watu kwanini wanatakiwa Kufunga

Tofauti na hapo tutakuwa na kundi kubwa la watu wanaoshinda na Njaa ila sio kundi kubwa la wafungaji
Zanzibar huo ni utaratibu wao utawalaumu bule kariakoo kuna migahawa iko wazi ujazuiwa kwenda kula
 
Umeona eeh? Kwamba mimi sili na wewe usile. Siyo kwamba anafunga kwa ibada ya roho yake. Mbona Hyatt hotel ni ya muarabu na serena hotel ni ya mpakistani ila msosi upo mda wote na futari ipo jioni pia. I'm sure ukienda Dubai mchana huu hukosu msosi.
Kila mtu na utala tibu wake wa maisha siku j2 wakina msalaba wafunga biashara wazo wanapumzika mbona hakuna lawama na j mosi
 
Kila mtu na utala tibu wake wa maisha siku j2 wakina msalaba wafunga biashara wazo wanapumzika mbona hakuna lawama na j mosi
Hujajua muda wa kufungua biashara na kufunga biashara! Jumapili ni mtu kaenda kusali kama ijumaa mtu anavyoenda kuswali na kurudi kazini, huyo anayezungimziwa kafunga biashara kabisa. Sababu ya kufunga biashara ukimuuliza kama anijua vizuri hatokupa jibu sahihi!
 
Inategmea na biashara husika, kama mamalishe na ni waislamu ni bora wafunge tu. Na ndio maana biashara nyingine za waislamu zipo wazi kama vile maduka ya nafaka *mchele, unga, n.k) kama unaweza nunua upike mwenyewe.
Usitake kulazimisha mtu aliyefunga aanze kukarangiza chakula kwa ajili yako ambaye hufungi.

Ujumbe:
Amesema Mtume wa Allaah ( Swalla Allahu 'alayhi Wasallam)
"Mwenye kufunga Ramadhan kwa imani na kutaraji malipo (Kutoka kwa Allaah) Husamehewa yeye madhambi yaliyopita." [ Sahihi Bukhariy ]
 
Ushetani wa dini ni ubazazi sasa aliefunga anaongea nini na Mungu zaidi ya ufala tu.
 
Back
Top Bottom