najiuliza hapa kaswali kadogo... hawa wanadamu wa kwanza kabisa kufanya mapenzi.. je walijua matokeo yake ni nini?
kwanza walifundishwa na nani kugegedana?
walijuaje kuwa kugegedana ndiyo njia ya kuongeza wanadamu?
hmm!
ni udadisi tu..
Kwa nini usijiulize ni nini kinawafundisha mbwa, paka, kuku, samba, ng'ombe na hayawani wengine unaowajua wewe. Hata mimea inayo njia ya kugegedana ndo maana inachanua kwa majira na nyakati.
sasa mkuu hako kaswali si kapana sana? sasa najiuliza hawa viumbe wamejifunzia wapi?
ha ha ha haaaa.. wewe ni shidaa..Af unaambiwa sa hv utamu umebaki asilimia mbl tangu adam na eva walipoasi. Mwanzoni utamu ulikuwa 100%, ilikuwa ukigegeda leo unasikia utamu kama mwezi hivi. Huu tunaopata sasa tunachezea na zero point....unapungua kadri siku zinavyoenda
Af unaambiwa sa hv utamu umebaki asilimia mbl tangu adam na eva walipoasi. Mwanzoni utamu ulikuwa 100%, ilikuwa ukigegeda leo unasikia utamu kama mwezi hivi. Huu tunaopata sasa tunachezea na zero point....unapungua kadri siku zinavyoenda
najiuliza hapa kaswali kadogo... hawa wanadamu wa kwanza kabisa kufanya mapenzi.. je walijua matokeo yake ni nini?
kwanza walifundishwa na nani kugegedana?
walijuaje kuwa kugegedana ndiyo njia ya kuongeza wanadamu?
hmm!
ni udadisi tu..
Yaani joke ya hii posti iko kwa hii comment yako mkuu, nimecheka sana dah!Af unaambiwa sa hv utamu umebaki asilimia mbl tangu adam na eva walipoasi. Mwanzoni utamu ulikuwa 100%, ilikuwa ukigegeda leo unasikia utamu kama mwezi hivi. Huu tunaopata sasa tunachezea na zero point....unapungua kadri siku zinavyoenda
mi nahic lile tunda alilokatazwa baba etu adam ndio hii kitu ilipoanzia.
""Na akamfundisha Adam majina ya vitu vyote, kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni majina ya hivi ikiwa mnasema kweli.""