Naja, fungua pm kabisaNjoo kwangu Mimi nimekamilika kama malaika. nb na wewe uwe umekamilika kama malaika.
Nakubaliana na weweNdivyo maisha yalivyo, anayekutaka humtaki unayemtaka hakutaki
HayaBasi kumbe bado haujakua, ukikua utajua ni namna gani sahihi ya kwenda nae sawa hadi hicho kitambi kinaisha.