dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,936
- 8,345
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa et komweTafuta komwe moja jikaze komaa nalo
Hahahaaaa et komweTafuta komwe moja jikaze komaa nalo
Kuoa siyo lazima japo inaongeza heshima.Hii mizigo noma sana
Ni kweliKuoa siyo lazima japo inaongeza heshima.
Pia simtaki, wanasumbua kuitoa🤣🤣Asie bikra pia humtaki 😀😀😀
Sizungumzii kimwili. Ulitakiwa kujua hakuna complete package ya mwanamke. Chukua wako mtengeneze unavyotaka aweSio kweli
🙉Tafuta Mwanamke umri uwe kuanzia 45 years,hatakusumbua sana atakufa
Ahaa sawaSizungumzii kimwili. Ulitakiwa kujua hakuna complete package ya mwanamke. Chukua wako mtengeneze unavyotaka awe
Basi kumbe bado haujakua, ukikua utajua ni namna gani sahihi ya kwenda nae sawa hadi hicho kitambi kinaisha.Siku hizi ukimwambia nakupenda atakuji, na hiki kitambi changu? Ukisema kitambi hapana ukitoe analia![]()
Wanapatikana mkuu tembelea maduka ya mchina......Pamoja na kwamba umri umeenda lakini bado sijamuona wa kumuoa.
Anayejichubua, simtaki
Asiyetoka bila makeup, simtaki
Anayefuga mikucha kama shetani, simtaki
Single mama, simtaki
Msela msela, simtaki
Asiyejua kupika, simtaki
Mpiga mizinga, simtaki
Nnayemtaka kama FS, yeye hanitaki. Kwa hiyo ninyi mnaouliza uliza ndoa lini mjue changamoto zipo nyingi mtuvumilie😊
Uzi tayari.
Huko kwenye Ndoa UNAENDA KUTAFUTA NINI?Pamoja na kwamba umri umeenda lakini bado sijamuona wa kumuoa.
Anayejichubua, simtaki
Asiyetoka bila makeup, simtaki
Anayefuga mikucha kama shetani, simtaki
Single mama, simtaki
Msela msela, simtaki
Asiyejua kupika, simtaki
Mpiga mizinga, simtaki
Nnayemtaka kama FS, yeye hanitaki. Kwa hiyo ninyi mnaouliza uliza ndoa lini mjue changamoto zipo nyingi mtuvumilie😊
Uzi tayari.