Huu u-selective ntakufa bachela jamani

Huu u-selective ntakufa bachela jamani

Basi fanya hivi, wachapeee tgen atakayeshika mimba oa labda mtakuwa mmepatana
 
Ndivyo maisha yalivyo, anayekutaka humtaki unayemtaka hakutaki
 
Mkuu badilika mimi nilikuwa na tabia ya kuwakataa single mama, lakini ajabu kila niliyekuwa na mpata alikuwa single mama basi nikaona isiwe tabu now nimetulia na single mama mmoja hivi maisha yanaendelea.
 
Siku hizi ukimwambia nakupenda atakuji, na hiki kitambi changu? Ukisema kitambi hapana ukitoe analia
Basi kumbe bado haujakua, ukikua utajua ni namna gani sahihi ya kwenda nae sawa hadi hicho kitambi kinaisha.
 
Mkuu utakuja kuoa mwanamke wa kawaida sana hadi ww mwenyew utakuwa unamuangalia unasema 'WHAT IS THIS''?. Lakini atakutunzia familia na atakuwa mchapakazi.
 
Pamoja na kwamba umri umeenda lakini bado sijamuona wa kumuoa.
Anayejichubua, simtaki
Asiyetoka bila makeup, simtaki
Anayefuga mikucha kama shetani, simtaki
Single mama, simtaki
Msela msela, simtaki
Asiyejua kupika, simtaki
Mpiga mizinga, simtaki
Nnayemtaka kama FS, yeye hanitaki. Kwa hiyo ninyi mnaouliza uliza ndoa lini mjue changamoto zipo nyingi mtuvumilie😊
Uzi tayari.
Wanapatikana mkuu tembelea maduka ya mchina......
tatizo hawawezi kuongea tu
 
Ongezea ambae ukimpa pesa hachukui

Zaa wako tu unae mtaka hajaumbwa dunia hiii.
 
Pamoja na kwamba umri umeenda lakini bado sijamuona wa kumuoa.
Anayejichubua, simtaki
Asiyetoka bila makeup, simtaki
Anayefuga mikucha kama shetani, simtaki
Single mama, simtaki
Msela msela, simtaki
Asiyejua kupika, simtaki
Mpiga mizinga, simtaki
Nnayemtaka kama FS, yeye hanitaki. Kwa hiyo ninyi mnaouliza uliza ndoa lini mjue changamoto zipo nyingi mtuvumilie😊
Uzi tayari.
Huko kwenye Ndoa UNAENDA KUTAFUTA NINI?

#YNWA
 
Back
Top Bottom