Huu sio uungwana

Huu sio uungwana

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,778
Reaction score
2,052
Huu sio uungwana hata kama nimelewa nimeagiza ya kuondoka nayo hom, nafika hom nakuta nyama iko hivi , ustaabu gani huu? kwahiyo Nile mindizi nikalale nyama imekua mkaa


IMG_20250816_020143_210.jpg
IMG_20250816_020211_368.jpg
IMG_20250816_020453_338.jpg
 
Tatizo la pombe hata uvae suti unakosa heshima na kudharauliwa hata na wauza mishikaki ya panya, ila utaheshimiwa na walevi wenzako na malaya maana utakuwa mteja wao mzuri sana tofauti na ukiwa hujalewa, nakutaki safari njema uepukane na kuwahishwa mbinguni.
Kuwaishwa mbinguni vp ?
 
Back
Top Bottom