Huu sasa ni ushamba wa kisiasa

Huu sasa ni ushamba wa kisiasa

hizi akili ndio za mwenyekiti wa CCM either tukuonge au tukumalize
 
Wanabodi,
Wasalaam,
Huko Mkoani Shinyanga mwenyekiti wa Wilaya wa Chama cha mapinduzi (CCM )wilaya ya Shinyanga Abouh Gulamu akiwa na timu yake amewafuata baadhi ya wenyeviti wa mitaa wa CHADEMA na kuwataka wahamie CCM kwa lazima na wasipofanya hivyo yatawakuta yaliyomkuta mbunge wa Arumeru Mashariki Mh. Joshua Nassar.

Wenyeviti waliofatwa ni pamoja Mh. Kerenge Nyakaganda ambaye ni mwenyekiti wa mtaa wa Banduka na Mh. Ayoub Daniel Ayoub mwenyekiti wa mtaa wa Mapinduzi wote wanatoka kata ya Ndala. Pia wajumbe wa serikali za mitaa ambao ni Robert Chacha, Haji Kija, Deo Masanja pamoja na Perepetua James. Viongozi hawa wamepewa ahadi nyingi na kama hawataondoka kwa hiari kuna vitisho pia. Hata hivyo viongozi hao wamegoma kusaliti maamuzi ya wananchi waliowachagua na kwamba wataendelea kuwatumikia. Wamesema dhambi ya usaliti kwa wananchi ina hukumu sawa na dhambi ya Yuda Iskarioti hivyo watabaki kuwatumikia wananchi wao wakiwa CHADEMA.

CCM MMEKATALIWA NA UMMA ACHENI VURUGU MWONDOKE KWA AMANI 2020.
Nani aondoke kwa amani hiyo 2020?we unaumwa wewe. Hako ka Saccos kenu ndio kachukue nchi? Hebu nipangie safu ya mawaziri wenu kwanza.
 
Ninawaonea huruma sana viongozi waliobeba matunaini ya watu na kuchaguliwa na watu kujiuzulu simply kwa ajili ya vipande vya fedha..au kwa kuwa wamejisikia kufanya hivyo...hawajui nguvu mungu aliyoweka juu ya mtu...na matumaini ya mtu....wekeni rekodi zenu sahihi mtaona vitu vya ajabu sana vinawatokea hawa watu..hakuna mtu kakiuka agano na mungu wake au na watu wa mungu hubakia salama...siku yakiwafika watapokuwa majalalani watatazama kushoto na kulia na hakuna atayelia nao..za kuambiwa wangechanganya na zao....Mungu hajawahi kuwa.muongo..na kanuni za maisha zipo kubakia...adhabu juu yao itadumu kwa hadi vizazi vinne na historia zao zitaandikwa hadi vizazi vya
 
Nasikia kuna kusanyiko Ufipa watu wanalishana Yamini. Kama kweli wananunulika basi wanachama wa hicho chama hawastahili hata chembe kupewa dhamana ya dola. Mtu anakubali kununuliwa Kwa vipande 30 vya Fedha halafu umpe kuongoza dola si atauza nchi na watu wake.
Hata hivyo sishangai Sana kwani hata EL alinunua ugombea ndani ya CHADEMA. Wananunulika; CHADEMA ni kusanyiko la Mayuda Eskariote. Chadema wote ni Yuda kuanzia Mwenyekiti Hadi mjumbe was mtaa.
Hicho ndo unachokiogopa wewe kupoteza dola na sasa unatumia njia chafu na safi kukikilinnda na umeaminishwa ni cdm pekee ndo aweza kwa vile mkiti wake hanunuliki kama yule prof au yule mzee wa parole ya jela
 
Hakuna la kupuuzwa wakati huu ambapo wanasiasa wamekuwa kama wanasesere.
 
Back
Top Bottom