Huu ni zaidi ya ujasiri

Huu ni zaidi ya ujasiri

Ukiona hivyo ujue kuna maandalizi ya magunia ya kutosha ya mkaa!
 
Tenaa huyoo wa hivyoo ndoo muuajii bora yulee anyekutukana na kukutishia maishaa TUMPENDE MKE WETU kaulii ngumuu sanaa
 
Msome na muelewe, haya mambo hayahitaji hasira. Ni kusaidiana tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuu, kupendana kwao kuna mipaka eti[emoji134]
Wanasemaga wao wanaweza ila sisi ndio hatuwezi kushea kwa kuwa hatupendani
 
Back
Top Bottom