ndyana Senior Member Joined Jul 12, 2015 Posts 152 Reaction score 28 Sep 24, 2015 #1 nchi ilikofikia, wakati huu ni wa kiongozi mzalendo, jasiri na mchapa kazi. mwenye sifa hizo ni mama anna mghwira
nchi ilikofikia, wakati huu ni wa kiongozi mzalendo, jasiri na mchapa kazi. mwenye sifa hizo ni mama anna mghwira
ndyana Senior Member Joined Jul 12, 2015 Posts 152 Reaction score 28 Sep 24, 2015 Thread starter #2 ndyana said: nchi ilikofikia, wakati huu ni wa kiongozi mzalendo, jasiri na mchapa kazi. Mwenye sifa hizo ni mama anna mghwira Click to expand... anafaa!
ndyana said: nchi ilikofikia, wakati huu ni wa kiongozi mzalendo, jasiri na mchapa kazi. Mwenye sifa hizo ni mama anna mghwira Click to expand... anafaa!
Asa'rile JF-Expert Member Joined Jun 29, 2012 Posts 438 Reaction score 120 Sep 24, 2015 #3 ndyana said: nchi ilikofikia, wakati huu ni wa kiongozi mzalendo, jasiri na mchapa kazi. mwenye sifa hizo ni mama anna mghwira Click to expand... umeogopa hizo picha? ...............sa mbona umikimbia ..... Anna Mghwira anafaa pia. maana ata-divide % za kura nyingi sana
ndyana said: nchi ilikofikia, wakati huu ni wa kiongozi mzalendo, jasiri na mchapa kazi. mwenye sifa hizo ni mama anna mghwira Click to expand... umeogopa hizo picha? ...............sa mbona umikimbia ..... Anna Mghwira anafaa pia. maana ata-divide % za kura nyingi sana
ndyana Senior Member Joined Jul 12, 2015 Posts 152 Reaction score 28 Sep 24, 2015 Thread starter #4 asa'rile said: umeogopa hizo picha? ...............sa mbona umikimbia ..... Anna mghwira anafaa pia. Maana ata-divide % za kura nyingi sana Click to expand... ndiye rais wa awamu ya 5
asa'rile said: umeogopa hizo picha? ...............sa mbona umikimbia ..... Anna mghwira anafaa pia. Maana ata-divide % za kura nyingi sana Click to expand... ndiye rais wa awamu ya 5
Vicent daudi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2012 Posts 354 Reaction score 80 Sep 24, 2015 #5 Mghwira mhhhhhhhhhh
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,117 Reaction score 165,385 Sep 24, 2015 #6 Shusha neti ulale, malaria ni hatari....
ndyana Senior Member Joined Jul 12, 2015 Posts 152 Reaction score 28 Sep 24, 2015 Thread starter #7 vicent daudi said: mghwira mhhhhhhhhhh Click to expand... huamini?
ndyana Senior Member Joined Jul 12, 2015 Posts 152 Reaction score 28 Sep 24, 2015 Thread starter #8 evelyn salt said: shusha neti ulale, malaria ni hatari.... Click to expand... utamkubali tu!
ndyana Senior Member Joined Jul 12, 2015 Posts 152 Reaction score 28 Sep 24, 2015 Thread starter #9 evelyn salt said: shusha neti ulale, malaria ni hatari.... Click to expand... utamkubali!
W wakumwamasaga JF-Expert Member Joined Dec 24, 2014 Posts 246 Reaction score 71 Sep 24, 2015 #10 Wagombea wengine kama akina Hashim Rungwe, Anna Mghwira, n.k. bora wangegombea tu ubunge au udiwani. Kwenye urais hawatoshi.
Wagombea wengine kama akina Hashim Rungwe, Anna Mghwira, n.k. bora wangegombea tu ubunge au udiwani. Kwenye urais hawatoshi.