Huu ni ushauri wangu kwa majeshi yote

Huu ni ushauri wangu kwa majeshi yote

KIEMBE

Senior Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
109
Reaction score
11
Ndugu wapendwa katika dunia tuliyopo hakuna jambo muhimu na lenye manufaa kama kupata taarifa SAHIHI tena unapokua unafatilia jambo flani ambalo ni muhimu.

Hivi karibuni jeshi la kuzuia na kupambana na rushwa, zimamoto na uhamiaji walitoa nafasi lakini hua wanaweka siku ya mwisho ya maombi ila hawaelezi lini watatoa majibu.

USHAURI:
Ni vzuri majeshi yote yawe yanaweka tarehe ya kutoa majina yawatakaochaguliwa na ni GAZETI LIPI majina hayo yatatoka kwahiyo kwakufanya hivyo itawaondolea utata waombaji juu ya taarifa sahihi.

Ahsanteni!
 
nimefungua fasta nikajua ushauri nyeeeti!
 
Yaani unataka na wenyewe wajiwekee deadline, ila zimamoto wako faster sana deadline 1 feb shortlisting 12 march yaani mwezi na wiki tu tayari ila pccb walitumia kama miez mitatu hvi mpaka kutoa majina, uhamiaji nao sasa ni mwezi na wiki hawana hata dalili mh!, lakin pccb nalo ni jeshi jamani.
 
- Jeshi la kupambana na kuzuia rushwa?

- Jeshi la Uhamiaji?
 
Yaani unataka na wenyewe wajiwekee deadline, ila zimamoto wako faster sana deadline 1 feb shortlisting 12 march yaani mwezi na wiki tu tayari ila pccb walitumia kama miez mitatu hvi mpaka kutoa majina, uhamiaji nao sasa ni mwezi na wiki hawana hata dalili mh!, lakin pccb nalo ni jeshi jamani.

Ndio PCCB ni Police kaka au m ndo sijui?
 
- Jeshi la kupambana na kuzuia rushwa?

- Jeshi la Uhamiaji?

Inabidi tuunde Bunge maalum la katiba ya Jamii forums ambayo baada ya mchakato kukamilika itampa mwanachama authority ya kutukana bila kuomba radhi pale inapotokea mjumbe/mwanachama mwingine anapotoa mawazo siriwazi kwa njia ya uwazi! Nimekurupukia habari nikajua huenda ni ushauri elekezi kumbe ni (limehifadhiwa kwa sasa)
 
Back
Top Bottom