Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,392
Kuna uvumi umeenea jijini Dar kwamba kuna mwanaume kanasiana na mke wa mtu wakati wakijamiiana.
Sina uhakika sana na uvumi huo, lakini katika kukua kwangu nimewahi kusikia hiyo habari ya wanaume kuwawekea tego wake zao ili wakitoka nje ya ndoa wanasiane na wanaume hao.
Mimi nasema huu ni uonevu kwa sababu kiukweli kabisa wanaume ndio wanaoongoza kwa kusaliti ndoa zao lakini sijawahi sikia mwanamke kamtegeshea mumewe akanasiana. kwa nini iwe ni wanaume tu, na wanawake wasiwe na uwezo huo?
Mimi nadhani sasa huu ni wakati muafaka kwa TGNP. TAWLA, WILAC na TAMWA kutoa tamko kulaani mtindo huu ambao unawadhalilisha sana wanawake ukilinganisha na wanaume. Unakuta jidume lizinifu kabisa lakini limemtegeshea mkewe asimegwe! wao waki Duu ni sawa lakini sisi tuki Duiwa ni nongwa
Heeeeeeee
Naomba wanaharakati wanawake wa JF tukemee kabisa hii tabia ya wanaume maana haifai kabisa, taarifa hizi ziwafikie- cacico, gfsonwin, snowhite, Madame B, MadameX, nivea, Yummy, nyumba kubwa, BADILI TABIA, Smile, Kipipi, Angel Msoffe, MwanajamiiOne, Mamndenyi, lara 1, Preta, Kongosho, Elizabeth Dominic, Kaunga, na wengine niliowasahau, hebu njooni hapa tutoe tamko haraka sana
Sina uhakika sana na uvumi huo, lakini katika kukua kwangu nimewahi kusikia hiyo habari ya wanaume kuwawekea tego wake zao ili wakitoka nje ya ndoa wanasiane na wanaume hao.
Mimi nasema huu ni uonevu kwa sababu kiukweli kabisa wanaume ndio wanaoongoza kwa kusaliti ndoa zao lakini sijawahi sikia mwanamke kamtegeshea mumewe akanasiana. kwa nini iwe ni wanaume tu, na wanawake wasiwe na uwezo huo?
Mimi nadhani sasa huu ni wakati muafaka kwa TGNP. TAWLA, WILAC na TAMWA kutoa tamko kulaani mtindo huu ambao unawadhalilisha sana wanawake ukilinganisha na wanaume. Unakuta jidume lizinifu kabisa lakini limemtegeshea mkewe asimegwe! wao waki Duu ni sawa lakini sisi tuki Duiwa ni nongwa
Heeeeeeee
Naomba wanaharakati wanawake wa JF tukemee kabisa hii tabia ya wanaume maana haifai kabisa, taarifa hizi ziwafikie- cacico, gfsonwin, snowhite, Madame B, MadameX, nivea, Yummy, nyumba kubwa, BADILI TABIA, Smile, Kipipi, Angel Msoffe, MwanajamiiOne, Mamndenyi, lara 1, Preta, Kongosho, Elizabeth Dominic, Kaunga, na wengine niliowasahau, hebu njooni hapa tutoe tamko haraka sana