HONEST HATIBU
Member
- Aug 19, 2020
- 23
- 48
HESLB Tanzania tunaomba muwe mnawaelimisha hawa wabunge wetu vigezo mnavyotumia kuwapa wanafunzi mikopo maana mpaka mwanafunzi anapewa hela ya kujikimu ina maana hata kwao wana mazingira magumu hawataweza kumpa pesa ya kujikimu
Angejua wanafunzi wanachopitia hata hyo boom haitoshi asingeongea, asichukue sample space ya watu wachache anaowaona halafu akaongelea wote
Wanafunzi wanateseka sana huko chuoni isitoshe boom zenyewe mnawatapel bado mnawasema
Hivi vijana wa nchi hii wamewakosea kitu gani jamani
Ifike mahali muwe na uchungu wa vijana waliopo nchini jamani kaaa
Angejua wanafunzi wanachopitia hata hyo boom haitoshi asingeongea, asichukue sample space ya watu wachache anaowaona halafu akaongelea wote
Wanafunzi wanateseka sana huko chuoni isitoshe boom zenyewe mnawatapel bado mnawasema
Hivi vijana wa nchi hii wamewakosea kitu gani jamani
Ifike mahali muwe na uchungu wa vijana waliopo nchini jamani kaaa