Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Mambo mengine wanayofanya ccm ni ya unyanyasaji na dharau kwa Watanzania, haiwezekani ushindi uwe kwa jimbo la Igunga wao wafanye sherehe Kila kona ya nchi. Kusherekea si kosa japo hakuna ulazima wwt hs ukizingatia ni ushindi finyu tn wa jimbo 1 tu tn wametumi hila kushinda, kinachoniuma na kunifanya nizidi kuwachukia ni jins wanavyochezea hela(kodi) za wananch kufanya masherehe yao yasiyo na tija kwa watanzania wkt kn matatizo chungu nzima yanayolikabili TAIFA. WATANZANIA TUNADHARAULIWA NA KUONEWA SANA!