Hamna ulinzi wowote hao ni kwa ajili ya kumdaka rais akijikwaa,ukitaka dondoka kwa ugonjwa,uchovu nk ila hao sio wa ulinzi direct kama tudhaniavyo.
Lakini pia ni mtu ambae anakua tayri kwa ajili ya kupokea maelekezo ya kitaalamu/usalama namna ya kumwokoa Rais endapo itatokea ambush.
Assume zimeanza kulia papapa huyo ndie atamuwahi rais kumshika mkono na kumwambia twende huku pita kule,ingia hapa nk,
Ana UMUHIMU sana kwa nchi zetu za Africa zisizo na uwezo wa kuimarisha ulinzi wa MARAIS kwa 100%.
Kwa wenzetu rais analindwa na mitambo watu wanaangalia na kulinda mazingira aliyopo RAIS point hadi point tofaut na huku kwetu..
RAIS sio Mtu wa Kawaida
Ni nembo ya Taifa Ile
Ukitaka ujue RAIS ni kitu cha thamani, angalia pesa zinazomwagika michakato inayofanyika mpk kumpata RAIS
HII mipesa yote ikusanye iweke katika Kitu kimoja..
Hiyo ndio THAMANI ya RAIS zidisha mara 5 utajua kwann ni lazima alindwe.
So kuwepo kwa mmoja tu haitoshi..Check Kiduku wa KOREA gari yake inazingirwa na USALAMA wangapi.