Huu ni ukichaa

Huu ni ukichaa

Mmh dunia imebinuka cku hiz, haya mambo ya pesa yameanza karne ya Kikwete si enzi zetu hayakuwepo haya, nahic na mabadiliko ya uchum yamebadilika
 
Sijajua dhamira ya siredi ii,,any way mapenzi ndipo yalipofikia so ni kujipanga tu kwan huwez kujua yup anakupendea pesa na yupi she is for real
 
Mapenzi ni pesa kaka. mimi nikiwa na mwanamke hapendi pesa yangu au hajui kutumia pesa nampiga chini kwa kuwa atanitia umaskini akili italala. kuna demu nilimpiga chini nipo zangu kiwanja nimemvutia uzi namwambia kodi usafiri uje ntalipa. nashangaa anakuja na bodaboda. nikampiga chini. sasa nimepata demu yeye anapanda tax tu. na hapa anataka nimnunulie verossa. kanipa wiki.
 
Adamu aliumbwa mwenyewe baadae akaja mwanamke Adamu ndo anatakiwa mpenda mwanamke
 
Mkuu hapo umenena...kuna wanaume wenzetu kama vile hawajielewi hivi...lakini hii dunia ndivyo tulivyoikuta sasa tutaiacha hivi hivi na mambo yake....
 
Mapenzi ni pesa kaka. mimi nikiwa na mwanamke hapendi pesa yangu au hajui kutumia pesa nampiga chini kwa kuwa atanitia umaskini akili italala. kuna demu nilimpiga chini nipo zangu kiwanja nimemvutia uzi namwambia kodi usafiri uje ntalipa. nashangaa anakuja na bodaboda. nikampiga chini. sasa nimepata demu yeye anapanda tax tu. na hapa anataka nimnunulie verossa. kanipa wiki.

Hayo yote uliyoeleza unadhani kweli yanahusiana na mapenzi? Au ndiyo nyimbo za Weusi zimekuhalibu.
 
Mapenzi ni pesa kaka. mimi nikiwa na mwanamke hapendi pesa yangu au hajui kutumia pesa nampiga chini kwa kuwa atanitia umaskini akili italala. kuna demu nilimpiga chini nipo zangu kiwanja nimemvutia uzi namwambia kodi usafiri uje ntalipa. nashangaa anakuja na bodaboda. nikampiga chini. sasa nimepata demu yeye anapanda tax tu. na hapa anataka nimnunulie verossa. kanipa wiki.

Babu unambwelesha..
 
Back
Top Bottom