Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 370,964 Reaction score 858,946 Apr 9, 2015 Thread starter #21 kabanga said: Hamna kuiba hapo Click to expand... WAHEED SUDAY said: Nadhani ana haki ya kufanya hivyo Click to expand... HARUFU said: Mwenye chombo nae! Click to expand... Masharti ya sangoma hapo ndani kuna bonge la hirizi linapumua
kabanga said: Hamna kuiba hapo Click to expand... WAHEED SUDAY said: Nadhani ana haki ya kufanya hivyo Click to expand... HARUFU said: Mwenye chombo nae! Click to expand... Masharti ya sangoma hapo ndani kuna bonge la hirizi linapumua
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,687 Reaction score 193,673 Apr 9, 2015 #22 Hiyo gari itakuwa imebeba sheli.
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,109 Apr 10, 2015 #23 bora tu apige kofuli watu wanaiba na mafuta yamepanda bei ndiyo shida zaidi ......... ha ahaha uzuri wa gari engine shape badaye
bora tu apige kofuli watu wanaiba na mafuta yamepanda bei ndiyo shida zaidi ......... ha ahaha uzuri wa gari engine shape badaye