itagata
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 209
- 71
Habari za leo wana JF Doctor!
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo ambalo bado sijapata ufumbuzi wake. Nikiwa na dalili za ugonjwa wa maralia, sehemu ya mwisho ya uti wa mgongo juu ya njia ya haja kubwa huwa inapasuka na kusababisha maumivu ambao mpasuko Huo huwa unadumu kwa siku mbili au tatu halaf unatoweka.
Nimejaribu kwenda hospital na nikaelezwa kuwa hali hiyo inaweza kuwa inasababishwa na ugonjwa wa maralia.
Je ni kweli hali hii inasababishwa na dalili za maralia? Na nifanye nini ili kuitibu?
Naomba ushauri wenu madaktari mliomo humu JF.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo ambalo bado sijapata ufumbuzi wake. Nikiwa na dalili za ugonjwa wa maralia, sehemu ya mwisho ya uti wa mgongo juu ya njia ya haja kubwa huwa inapasuka na kusababisha maumivu ambao mpasuko Huo huwa unadumu kwa siku mbili au tatu halaf unatoweka.
Nimejaribu kwenda hospital na nikaelezwa kuwa hali hiyo inaweza kuwa inasababishwa na ugonjwa wa maralia.
Je ni kweli hali hii inasababishwa na dalili za maralia? Na nifanye nini ili kuitibu?
Naomba ushauri wenu madaktari mliomo humu JF.