nashkuru, ye ni muislam na kila mara anavyoanguka huwa wanamsomea dua na anazinduka wakati mwingine huzinduka mwenyewe hata hajasomewa na kumwagiwa maji,kubwa ni pale hata akikuta watu wameenda mazishini na maiti hakuiona, akilia sana anazimia.anatatizo gani huyu na dawa za kizugu ashatumia sana?