Huu ni muujiza?

atakua amepata hela
 
Ipo hv kwa wale wenye vichwa vipana unachopaswa kufanyq kuguga nywele nying kisha nyoa pank ya brash pank lisiloonekana nywele zq juu usinyoe zichpnge tu kichwa chako kitaonekana kirefu kuhusu appearance watu weusi siju hz
Wewe ni Mzungu? Mbona umesema watu weusi?
 
Kazi yake nini? Nipe details kidogo kaka.
Hiyo ni encryption...ukiicrack hiyo enigma utakuwa umegundua mipango ya aliens wanaokuja duniani, kuua na kureplace binadamu kwa kivuli cha society iitwayo illuminati
 
Ni pesa za chuo zimembadilisha tu.
Umewahi kuona picha ya Mpoki na Joti ya chini ya miaka ya 2005? yaani utafikiri wazee na sasa ndio wamekuwa vijana.
 
Kajichubua..watoto wengi wa chuo wakiume wanajichubua
 
Kama wewe ni dume unaelekea pabaya bro!

Mwanaume kumtamani mwanaume mwenzake ni dalili za kuumaliza mwendo.
Halafu mwambie kubadili mademu sio sifa,atakapoanza kuharisha dengu mtaanza kusingizia watu uchawi..
 
Hiyo ni encryption...ukiicrack hiyo enigma utakuwa umegundua mipango ya aliens wanaokuja duniani, kuua na kureplace binadamu kwa kivuli cha society iitwayo illuminati
Kui-:crack' maana yake ni nini?
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚au kaenda plastic surgery?
 
Una uhakika ni mdogo wako kweli? Mchunguzeni vizuri asije kuwa gaidi wa kiafghanistan kaja kutafuta hifadhi kwenu. We umeona wapi ghafla tu mtu mbaya anabadilika namna hiyo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ