MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
- Thread starter
- #41
Hilo zigo linawahusu CCM wote waliojiapiza kua zile hazikua pesa za umma.Prof Muhongo ni mhusika namba moja. Alituambia hizo fedha si za umma lkn leo umma utatakiwa kulipa. Alipe yeye na familia yake. Inakera sana nchi hii kila siku tunapigwa na wajanja.